Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,326
- 92,528
Siyo lazima ujuwe kila kitu,...... wewe unajuwa hiki na mwingine anajuwa kile, ndio maana hakuna mtu mmoja akawa yeye daktari, mchumi, mhasibu na mkandarasi.ila haya mambo ya jini mahaba mie siamini,huwa nayahusisha na magonjwa ya kisaikolojia.
Ni busara ukawaacha wenye ufahamu wampe ushauri stahiki, na usidhani huyo pepo mchafu huwa anawachezea wanawake tu, bali yuko hata huyo jini mahaba anayewakojoresha wanaume na madhara yake Wanaume wengi hupoteza uwezo wa nguvu za kiume, hizi sio hadithi za kijiweni wala kufurahisha baraza.