Heshima kwenu, nina mke ambye 2lifunga ndoa agosti 2010, tukiwa ktk tendo la ndoa mwnzangu haisi hamu ya tendo kabsa, na kuhisi maumivu. ila yeye anadai zamani alikuwa akitokewa na jini mahaba ktk ndoto huku wakifanya mapenz na alikuwa akipata raha zote za kike. hv sasa zile ndoto haoti tena yapata mwka wa kumi sasa. kwa kuwa yeye hapati mshawasha wa tendo anadai bora nitafute mwnmke wa nje ili anirishe. naomba mwenye fununu ya tiba anisaidie ili nisimpoteze mke wangu tafadhali. 0714 408238. msaada wandugu.