Msaidieni kaka yangu ndoa inavunjika, hawezi kwenda round zaidi ya moja

kindikwili

JF-Expert Member
Oct 5, 2016
1,862
2,871
Habari iwe nanyi wapendwa!
Bila kupoteza muda napenda kujikita kwenye mada, kaka yangu ameo mwaka moja sasa. Huyu mwanamke walikuwa hawajajuana kindoa mpaka walipooana, sasa mwanamke analalama kwamba ndg yangu hampatii hitaji lake la ndoa kama inavyopaswa. Anasema kashaongea naye lakini jamaa anashindwa kufikia level zake, wameyaongea ndani wameshindwana sasa kayalete kwetu mashemeji zake.

MADAI YA SHEMEJI
Shemeji anadai kwamba kaka yangu hawezi kwenda round zaidi ya moja, yaani akipiga kamoja jamaa hawezi tena kusimamisha labda yapite masaa mengi sana. Kwa kitendo hicho mwanamke anaachwa na mshawasha kiasi anachodai kinampa msongo wa mawazo.

MADAI YA KAKA
Kaka yeye anasema amekuwa na hisia ndogo sana juu ya wanawake na kwamba hata mke wake wanaweza kulala naye wiki mbili bila kufanya mapenzi. Anaendelea kusema amekuwa akichoka sana baada ya tendo la ndoa. Anasema akifanya na mkewe kesho yake anakuwa kama mtu aliyelimishwa ekari tano.

MATUMIZI YA POMBE, SIGARA AU KUPIGA PUNYETO
Kaka yetu anasema (kwa sigara na pombe hata mimi nina uhakika) hajawahi kunywa pombe wala kuvuta wala kupiga punyeto. Anaapa kwamba hivo vitu hajawahi kuvifanya hata siku moja isipokuwa wakati akisoma walikuwa wanalishwa ugali maharage wenye mafuta taa kama ilivyo desturi za shule za boarding za serikali.

Ili kunusuru hali inayoendelea kufukuta na kuepusha jamaa kuchapiwa ushauri ni muhimu sana kwa yeyote yule. Msaidieni afanye nini kukabiliana na changamoto hiyo, najua kejeli haitakuwepo kwasababu hazitasaidia kutatua tatizo hili.

NB. Kumekuwepo na tabia za kusingizia wanaume wa DSM kwa mambo kama haya, ila huyu kaka yangu amezaliwa mtwara, kakulia mtwara na shule ndiyo iliyomtoa huko kuja dsm na kwasasa kazi anafanyia huko wala si mpenzi wa chipsi na kuku wa kisasa.
 
Nilikuwa kanisani siku moja kwenye mkutano wa wanawake. Msemaji mmoja akuekezea umuhimu wa wanawake kujitunza.

Alisema ukizoea ya Ali na ya Joseph, ukija kuolewa na Eric utaona hajui mapigo. Lakini kama mwanaume unaemjua ni Eric tu utaridhika na hali yake.
 
Hiyo ndio shida ya kuoa magume gume ambayo yameshazowea mishindo. Hapo cha kufanya huyo mwanaume aende kwa wataalamu wa afya ili ajue namna ya kutatua tatizo lake.

Pia hiyo ni tabia mbaya sana ya mwanamke kutoa siri za chumbani na mumewe sababu mpaka hapo msaada hajaupata bado na bora angekaa nayo moyoni huku anatafuta njia ya kumsaidia mumewe.
 
Inaonyesha unatatizo la upungufu wa nguvu za kukaza mke wako ipasavyo. Fanya hiv, Chukua Asali kilo moja changanya na unga wa mdalasini vijiko vikubwa tano tumia Asubukhi unapo amka na unapo taka kulala. Katakata vitunguu swaumu punje 10 kisha meza kwa kutumia maji glass mbili Asubukhi na Jioni. Fanya hivyo kwa mwenzi mzima. Aisee nimechoka kuandika, mengine njoo pm nikwelekeze.
 
Habari iwe nanyi wapendwa!
Bila kupoteza muda napenda kujikita kwenye mada, kaka yangu ameo mwaka moja sasa. Huyu mwanamke walikuwa hawajajuana kindoa mpaka walipooana, sasa mwanamke analalama kwamba ndg yangu hampatii hitaji lake la ndoa kama inavyopaswa. Anasema kashaongea naye lakini jamaa anashindwa kufikia level zake, wameyaongea ndani wameshindwana sasa kayalete kwetu mashemeji zake.

MADAI YA SHEMEJI
Shemeji anadai kwamba kaka yangu hawezi kwenda round zaidi ya moja, yaani akipiga kamoja jamaa hawezi tena kusimamisha labda yapite masaa mengi sana. Kwa kitendo hicho mwanamke anaachwa na mshawasha kiasi anachodai kinampa msongo wa mawazo.

MADAI YA KAKA
Kaka yeye anasema amekuwa na hisia ndogo sana juu ya wanawake na kwamba hata mke wake wanaweza kulala naye wiki mbili bila kufanya mapenzi. Anaendelea kusema amekuwa akichoka sana baada ya tendo la ndoa. Anasema akifanya na mkewe kesho yake anakuwa kama mtu aliyelimishwa ekari tano.

MATUMIZI YA POMBE, SIGARA AU KUPIGA PUNYETO
Kaka yetu anasema (kwa sigara na pombe hata mimi nina uhakika) hajawahi kunywa pombe wala kuvuta wala kupiga punyeto. Anaapa kwamba hivo vitu hajawahi kuvifanya hata siku moja isipokuwa wakati akisoma walikuwa wanalishwa ugali maharage wenye mafuta taa kama ilivyo desturi za shule za boarding za serikali.

Ili kunusuru hali inayoendelea kufukuta na kuepusha jamaa kuchapiwa ushauri ni muhimu sana kwa yeyote yule. Msaidieni afanye nini kukabiliana na changamoto hiyo, najua kejeli haitakuwepo kwasababu hazitasaidia kutatua tatizo hili.

NB. Kumekuwepo na tabia za kusingizia wanaume wa DSM kwa mambo kama haya, ila huyu kaka yangu amezaliwa mtwara, kakulia mtwara na shule ndiyo iliyomtoa huko kuja dsm na kwasasa kazi anafanyia huko wala si mpenzi wa chipsi na kuku wa kisasa.
Tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanamme linaweza kusababishwa na vitu vingi sana. Sababu hizo zinaweza kuwa za kimaumbile au kisaikolojia au za mchanganyiko wa vitu hivyo viwili. Hebu tuone baadhi ya vyanzo vya tatizo hili.
Mahusiano Baina Ya Mwanamme Na Mwanamke
Matatizo ya mahusiano kati ya mwanamme na mwanamke yana mchango mkubwa sana katika kusababisha tatizo la kukosa hamu ya mapenzi. Jee, unapata raha na una amani katika mahusiano yako na mpenzi wako? Huna wasiwasiwo wote na mahusiano yenu? Haya ni maswali ya msingi ya kujiuliza.
Kama mahusiano yako na mpenzi wako yamekuwa ya miaka mingi sana, unaweza kuwa umemzoea mno mkeo kiasi kwamba ukaanza kukosa hamu ya kufanya naye tendo la ndoa. Hili nalo hutokea mara nyingi.
Kama kuna mambo yanasababisha tendo la ndoa lisifanyike kwa urahisi, ufanisi na kufurahia, hamu ya kufanya tendo hilo inaweza kupungua. Kwa mfano, kama mwanamme unawahi kufika kileleni au una matatizo ya jongoo wako kupanda mtungi, tendo zima la ndoa halitakuwa la kukufurahisha sana hivyo unaweza kupoteza hamu ya kulifanya. Hebu fikiria tunda linalokufurahisha sana ukilila, ukilikosa kwa siku kadhaa, utalikumbuka na kulitafuta lakini ambalo halikufurahishi sana ukilila hutalikumbuka na kulitafuta.

Mawazo Mengi Na Uchovu

Matatizo ya kikazi na hadhi yako kazini vyaweza kuchangia. Kama unabezwa sana kazini na kujiona hutimizi kazi yako ipasavyo au kama unachoka sana kazini unaweza pia kukosa hamu ya kufanya mapenzi urudipo nyumbani. Kukosa mpango mzuri wa shughuli zako za kila siku na kujaribu kulazimisha kufanya mapenzi katikati ya ratiba yako iliyojaa. Mahusiano ya kimapenzi yanataka yatengewe muda wake na unaotosha.

Msongo Wa Mawazo

Msongo wa mawazo (depression) unatofautiana na kukosa raha au kujisikia si mtu wa thamani kwa kipindi kifupi. Msongo wa mawazo ni ugonjwa wa hali ya kuwa na mawazo makali ya muda mrefu ya kukukosesha raha kutokana na kujisikia si mtu wa thamani au kukosa starehe katika vitu ulivyozoea kuvifanya na kukufurahisha hapo zamani. Mawazo ya namna hii huathiri mwenendo wako wa maisha yako pamoja na matamanio yako ya kimapenzi.

Matatizo Katika Mfumo Wa Homoni

Tumeshaona kwamba upungufu wa homoni inayoitwa testosterone unasababisha kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa. Matatizo mengine katika mfumo wa homoni huchangia tatizo hili. Kama thyroid haitoi homoni za kutosha, tatizo hili huweza kutokea ingawa mchango wa thyroid katika tatizo hili ni mdogo sana. Thyroid ni kiungo cha kuzalisha homoni kilichopo katika eneo la shingo.
Tatizo hili linaweza kutokea pale homoni zinapozalisha kitu kinachitwa prolactin kwa kiwango kikubwa mno na kukisambaza ndani ya mfumo wa damu. Hali hii kiutaalamu huitwa hyperprolactinaemia.

Matatizo Ya Kiafya

Matatizo ya kiafya ya muda mrefu husababisha kupungua kwa hamu ya kufanya tendo la ndoa. Matatizo ya moyo ya muda mrefu, kuwa na kisukari kwa muda mrefu, kansa ya muda mrefu na hali ya kuwa na unene wa kuzidi kiwango ni baadhi tu ya matatizo yanayochangia tatizo hili.
 
Habari iwe nanyi wapendwa!
Bila kupoteza muda napenda kujikita kwenye mada, kaka yangu ameo mwaka moja sasa. Huyu mwanamke walikuwa hawajajuana kindoa mpaka walipooana, sasa mwanamke analalama kwamba ndg yangu hampatii hitaji lake la ndoa kama inavyopaswa. Anasema kashaongea naye lakini jamaa anashindwa kufikia level zake, wameyaongea ndani wameshindwana sasa kayalete kwetu mashemeji zake.

MADAI YA SHEMEJI
Shemeji anadai kwamba kaka yangu hawezi kwenda round zaidi ya moja, yaani akipiga kamoja jamaa hawezi tena kusimamisha labda yapite masaa mengi sana. Kwa kitendo hicho mwanamke anaachwa na mshawasha kiasi anachodai kinampa msongo wa mawazo.

MADAI YA KAKA
Kaka yeye anasema amekuwa na hisia ndogo sana juu ya wanawake na kwamba hata mke wake wanaweza kulala naye wiki mbili bila kufanya mapenzi. Anaendelea kusema amekuwa akichoka sana baada ya tendo la ndoa. Anasema akifanya na mkewe kesho yake anakuwa kama mtu aliyelimishwa ekari tano.

MATUMIZI YA POMBE, SIGARA AU KUPIGA PUNYETO
Kaka yetu anasema (kwa sigara na pombe hata mimi nina uhakika) hajawahi kunywa pombe wala kuvuta wala kupiga punyeto. Anaapa kwamba hivo vitu hajawahi kuvifanya hata siku moja isipokuwa wakati akisoma walikuwa wanalishwa ugali maharage wenye mafuta taa kama ilivyo desturi za shule za boarding za serikali.

Ili kunusuru hali inayoendelea kufukuta na kuepusha jamaa kuchapiwa ushauri ni muhimu sana kwa yeyote yule. Msaidieni afanye nini kukabiliana na changamoto hiyo, najua kejeli haitakuwepo kwasababu hazitasaidia kutatua tatizo hili.

NB. Kumekuwepo na tabia za kusingizia wanaume wa DSM kwa mambo kama haya, ila huyu kaka yangu amezaliwa mtwara, kakulia mtwara na shule ndiyo iliyomtoa huko kuja dsm na kwasasa kazi anafanyia huko wala si mpenzi wa chipsi na kuku wa kisasa.
Msaada ni wewe shemaji yake kumla basi acha kuleta huku au weka namba ya simu hapa na useme shemeji yako anapatikana mkoa gani na kazi yupo wapi.. Yaani unaletewa hoja ya kusaidia unaleta humu....
 
Nilijua tu lazima mtakuja kutubu, wanaume wa mikoani hamna kitu, hampati balance diet, mnakula vyakula visivyo na virutubisho muhimu kwa ufanyaji kazi bora wa mwili, sinia la kiporo cha ugali na mboga zilizopikiwa kwenye kuni haziwezi kushindana na nutrition zinazopatikana kwenye burger moja au kipande cha pizza. Concentration kubwa na focus ya watu wa mikoni ni quantity ya chakula na siyo quality. Hapo ndipo mnapoingia mkenge, kuleni vyakula bora, hayo mambo mengine yote yatakaa sawa.
 
Hiyo ndio shida ya kuoa magume gume ambayo yameshazowea mishindo. Hapo cha kufanya huyo mwanaume aende kwa wataalamu wa afya ili ajue namna ya kutatua tatizo lake.

Pia hiyo ni tabia mbaya sana ya mwanamke kutoa siri za chumbani na mumewe sababu mpaka hapo msaada hajaupata bado na bora angekaa nayo moyoni huku anatafuta njia ya kumsaidia mumewe.
Fact
 
Ngoja ,ubize ukiniisha nitarudi nikusaidie ..tatizo Dogo sana hilo sio mpaka atumie madawa !!.

Kwanza tafuta Uzi wangu mmoja unasema .FANYA UUME WAKO UWE NANGUV NA HAMU YAKURUDIA TENDO ....
Soma elewa vzuri ,,,utarudi nikupe hints
 
Ngoja ,ubize ukiniisha nitarudi nikusaidie ..tatizo Dogo sana hilo sio mpaka atumie madawa !!.

Kwanza tafuta Uzi wangu mmoja unasema .FANYA UUME WAKO UWE NANGUV NA HAMU YAKURUDIA TENDO ....
Soma elewa vzuri ,,,utarudi nikupe hints nyingine .

Nb.Usinifate PM wakat unajua unaelement za Ushoga.
Hahahahaaaa unampa tahadhari mapema kabisa
 
Back
Top Bottom