cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Ooooh bas next ijumaa tukutane aunt akeTukutane ijumaa tukale biriani.


Ooooh bas next ijumaa tukutane aunt akeTukutane ijumaa tukale biriani.


Okay I’m waiting 😉Sawa...
Ondoa shaka...
Mikocheni kwanza alafu beach...
😉😉 Ubebe na 👙 nabeba boya ...Okay I’m waiting 😉
Hehehehe naogopa kina kirefu mimi jaman😉😉 Ubebe na 👙 nabeba boya ...
Nakupeleka kwenye kina kirefu... 😉
Nitakushikilia usizame...Hehehehe naogopa kina kirefu mimi jaman
Hicho kingine nitafanya
Mimi na wew tena
Muda wowote mdogo wangu.. ila Sasa nipo nje ya daslaam ya DarWee na mie tukutane lin? Au sijakidhi viwango?![]()
Ukirudi unistue bas nawee dada anguMuda wowote mdogo wangu.. ila Sasa nipo nje ya daslaam ya Dar




Nitakustua na hivi nitakua nimehamia kwangu makumbusho pale itakua rahisi Sana..sema utachagua sehemu za manyamanyama choma😋😋..Ukirudi unistue bas nawee dada angu![]()
Hahahahaha 🤐Nitakustua na hivi nitakua nimehamia kwangu makumbusho pale itakua rahisi Sana..sema utachagua sehemu za manyamanyama choma😋😋..
😂😂😂😂😛😛😛Hahahahaha 🤐
Hapo sasa dada ake, nishindwee mie tyuuuhNitakustua na hivi nitakua nimehamia kwangu makumbusho pale itakua rahisi Sana..sema utachagua sehemu za manyamanyama choma..



Anavyosema yupo nje ya mkoa naa atahamia Makumbusho...Wee unacheka nn?![]()