Wanajeshi wa Benin watangaza mapinduzi ya kijeshi nchini humo

Wanajeshi wa Benin watangaza mapinduzi ya kijeshi nchini humo

Nafikiri viongozi wa Africa wasishangae kila mmoja atafikiwa kwa wakati wake kama ilivyokuwa enzi za kupata uhuru
Ikumbukwe kuwa ni zaidi ya Karne Moja imepita ikiashiria kuwa Kuna kizazi kinafutika na kuja kizazi kingine
Hivyo basi kizazi kinachokuja kinajaribu kuweka mazingira yake ya kukabiliana na changamoto za maisha
 
Jwtz
 

Attachments

  • Screenshot_20251204-072049.jpg
    Screenshot_20251204-072049.jpg
    82.8 KB · Views: 11
Haya mapinduzi ni fasheni, ni episode 2, yatatokea nchi nyingi za kiafrika. Huko Afrika magharibi wameyazoea mapinduzi ya kijeshi ni kawaida kwao. Ngoma nzito ipo ukanda wa Afrika mashariki ingawa yananukia na tayari majaribio yameanza kufanyika. Si Afrika tu ni dunia nzima viongozi wengi wataondolewa madarakani ki namna ikiwemo kupinduliwa kijeshi. Ni mpango mpya wa siasa za dunia
 
Kichekesho ni kwamba Jwtz wanasubiri raia ndio wawakombea inasikitisha sana
Wale wapumbavu nchi ikikombolewa yapaswa wafukuzwe wote wakatafute kazi zingine za kufanya, hawana sifa za kuwa wanajeshi wajinga wale.
 
Mojawapo ya majukumu ya JWTZ ni Kulinda Katiba na Uhuru.wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Sasa Rais alidharau Katiba kwa kusema Katiba ni Kijitabu Tu! 😭😭😭😭

Imagine mtu ameidharau katiba wala haifuati anaiita kakijitabu tu, halafu eti nyie mnamlinda mnatii order zake na kumpigia salute? Si ukuma huo..!?

Kwanza unaanzaje kumuita amri jeshi mkuu mtu ambaye ameingiza mamluki kutoka nje kuja kuua raia zaidi ya 11,000 wasiokuwa na hatia?

Imagine eti CDF mzima kabisa na yeye akawaita wanainchi wake wahalifu? Wanainchi ambao anatakiwa awalinde?

Hatuna jeshi bongo hapa, kuna sungu sungu tu wanaovaa uniform za jeshi ambao jukumu lao kubwa ni kulinda watala mafisadi na familia zao.
 
Lucha hata malaya wa kimboka hawapo km wewe..!!
Hivi unapata faida gani kuwa chawa?

Hata km ni mahaba uliyonayo kwa mabasha zako wewe umezidi.!!

Halafu walioiba ni polisi wao ndio walibaki barabarani wananchi wote walikuwa ndani. Si umeona hadi kanisa la Gwajima. Haya acha uchoko basi
Acha kujilizaliza toka ukafanye vurugu na wizi uone utakachokutana nacho, we si unajidai huwezi kuishi bila kuiba mali za watu na kuziharibu toka uone vile watu hawacheki na nyumbu.
 
Acha kujilizaliza toka ukafanye vurugu na wizi uone utakachokutana nacho, we si unajidai huwezi kuishi bila kuiba mali za watu na kuziharibu toka uone vile watu hawacheki na nyumbu.
We *** mi sio shoga km wewe.!!

Kama vipi tulia ndani uendelee kupelekewa moto, maandamano ni kwaajiri ya wanaume na wanawake nangai sio machoko na makanguru..!!
 
Back
Top Bottom