Wanajeshi IDF wafichua Oktoba 7 ilikuwa mpango wa ndani

Wanajeshi IDF wafichua Oktoba 7 ilikuwa mpango wa ndani

Video yenyewe ni ya michongo!! Una uhakika gani huyo ni askari wa iDF?

Kwa sheria za kijeshi huwezi kutoa taarifa kama hiyo maana kuna msemaji wa Jeshi!!

Hicho kinachoendelea ni TAQIYYA yaani uongo kwa ajili ya mnyazimungu wao!!! Wajinga tu wanaweza kuamini UHARO huu
swala la oktoba 7 ni mpango wa israeli mbona watu walishaliona hilo kabla hata ya hiyo oktoba 7 haijafika!ILA USHABIKI MAANDAZI NDO UNAKUFANYA UWE KIPOFU
 
Wewe uliyeileta humu ndiyo utuambie imepikwa na nani!!
Wewe si ndiyo umesema imepikwa,tueleze mpishi nani, maana mi naona hiyo ni hearing kujua kilichojiri,ndiyo maana hapo pembeni kuna mtu kavaa uniform sekunde za mwanzo za video
 
swala la oktoba 7 ni mpango wa israeli mbona watu walishaliona hilo kabla hata ya hiyo oktoba 7 haijafika!ILA USHABIKI MAANDAZI NDO UNAKUFANYA UWE KIPOFU
Yaani ulivyo Utopolo unaamini kabisa Ismail Hanniyeh,Yahya Sinwar na makamanda waliofyekelewa mbali na Israem walipanga mipango hiyo!!!

Ama kweli wewe ni zuzu wa kutupwa!! Wajinga kama wewe ndiyo wataamini UHARO huu
 
Wanajeshi wa IDF wafichua kwamba shambulio la Hamas la oktoba 7 lilikua na mkono wa israel, katika kile kinachodaiwa kuwa ni sababu/fursa tosha ya kuwaondoa wapalestina milele

View attachment 3427112View attachment 3427113
kobazi mnajua kujitungia mauongo yasiyo na tija ili kuwasaficha ndugu zenu Hamas kwa hiyo mnataka kutuaminisha Israel iruhusu raia wake wauawe,wabakwe ,wachinjwe,watekwe na magaidi ya Hamas hakuna serikali ya hivi ulimwenguni

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kinachoendelea naamini 100% lengo ni kuifuta Palestine kwenye uso wa dunia
 
Unamaanisha Hamas na Israel wapo pamoja kiasi cha Israel kipanga mpango wa kujivamia, kuua kuteka alafu ikawachukua mateka wake ikawapelekea Hamas wawafiche kisha yenyewe ikaanza kuwashambulia tena marafiki zao Hamas na kuua viongozi wao? Hivi mnafikiria kwa kutumia nini eti?🤣🤣🤣
Kalio full stop! Akili za madrasa
 
Israel hakutaraji mambo yangekua hivi,kwanza wametolewa jasho na Hamas,pili dunia inataka palestina wapate taifa lao
Dunia ipi hiyo? au ya kiislam? hakuna kitu kama hicho kamwe wapeni ardhi zenu kama mnawapenda sana wachukueni mkanywe nao chai.

Hiyo Ardhi Mungu wa Wayahudi na Mungu fake wa Waarabu wote wanasema Ardhi ni ya Waisrael so pinganeni na hiyo Miungu sie tunawachiki tu na upumbavu wenu mnaopenda magaidi and Magaidi hayawapendeni nyinyi hahaha
 
Wanajeshi wa IDF wafichua kwamba shambulio la Hamas la oktoba 7 lilikua na mkono wa israel, katika kile kinachodaiwa kuwa ni sababu/fursa tosha ya kuwaondoa wapalestina milele

View attachment 3427112View attachment 3427113
Nilicoment sana kipindi fulani lakini nikawa napingwa vikali na baadhi ya wajumbe humu kwa maneno ya kejeli. Kumbe nilikuwa mbele ya wakati. Sema siwezi kuunganisha hizo comments.

Binafsi niliushtukia mchezo baada ya kusoma habari kuhusu jinsi ulinzi mkali ulivyo katika mpaka wa Gaza na jinsi shambulizi lilivyofanyika. Halafu ikasemekana kuwa, Israel ndiyo iliunda Hamas kwa sababu ya kuipinga PLO ya Arafati lakini baadae Hamas wakaigeuka Israel. Pamoja na hayo, Israel hawezi shindwa kuweka mapandikizi ndani ya Hamas ikiwa anaweza kuweka mapandikizi ndani ya Iran.

Sasa ukifuatilia vizuri, ule mpaka wa Gaza huwa una ulinzi mkali sana saa 24. Sehemu walipopita Hamas ni peupe. Kwa mfano, kuna wasichana wanajeshi wa Israel kazi yao ni kuangalia nyendo za Wapalestina upande wa pili wakiwa juu ya vile vijumba vya ulinzi. Kwa mujibu wa vyanzo, wale wasichana wanalinda kwa zamu muda wote na hawaruhusiwi kugeuka. Ikitokea dalili yoyote ya hatari wanatoa taarifa na kuliza ving'ora.

Swali; Ilikuwaje wale Hamas wakaja na mapikipiki kwamba hawakuonwa na wale walinzi wasichana? Inaonekana ndani ya Hamas kulikuwa na mapandikizi ya Israel yaliyowaingiza chaka wenzao ili Israel apate sababu ya kuichukua Gaza tena.

Israel alikuwa na uwezo wa kurusha chopa zake na kuwamaliza Hamas wote pindi walipokuwa wanaelekea Israel kushambulia raia kwenye lile tamasha.
 
Nilicoment sana kipindi fulani lakini nikawa napingwa vikali na baadhi ya wajumbe humu kwa maneno ya kejeli. Kumbe nilikuwa mbele ya wakati. Sema siwezi kuunganisha hizo comments.

Binafsi niliushtukia mchezo baada ya kusoma habari kuhusu jinsi ulinzi mkali ulivyo katika mpaka wa Gaza na jinsi shambulizi lilivyofanyika. Halafu ikasemekana kuwa, Israel ndiyo iliunda Hamas kwa sababu ya kuipinga PLO ya Arafati lakini baadae Hamas wakaigeuka Israel. Pamoja na hayo, Israel hawezi shindwa kuweka mapandikizi ndani ya Hamas ikiwa anaweza kuweka mapandikizi ndani ya Iran.

Sasa ukifuatilia vizuri, ule mpaka wa Gaza huwa una ulinzi mkali sana saa 24. Sehemu walipopita Hamas ni peupe. Kwa mfano, kuna wasichana wanajeshi wa Israel kazi yao ni kuangalia nyendo za Wapalestina upande wa pili wakiwa juu ya vile vijumba vya ulinzi. Kwa mujibu wa vyanzo, wale wasichana wanalinda kwa zamu muda wote na hawaruhusiwi kugeuka. Ikitokea dalili yoyote ya hatari wanatoa taarifa na kuliza ving'ora.

Swali; Ilikuwaje wale Hamas wakaja na mapikipiki kwamba hawakuonwa na wale walinzi wasichana? Inaonekana ndani ya Hamas kulikuwa na mapandikizi ya Israel yaliyowaingiza chaka wenzao ili Israel apate sababu ya kuichukua Gaza tena.

Israel alikuwa na uwezo wa kurusha chopa zake na kuwamaliza Hamas wote pindi walipokuwa wanaelekea Israel kushambulia raia kwenye lile tamasha.
Kwenye hearing,hao madem walisema waliambiwa waondoke waache lindo
 
Back
Top Bottom