Wanajeshi IDF wafichua Oktoba 7 ilikuwa mpango wa ndani

Wanajeshi IDF wafichua Oktoba 7 ilikuwa mpango wa ndani

Sina MB,ningeangalia hiyo video
Video yenyewe ni ya michongo!! Una uhakika gani huyo ni askari wa iDF?

Kwa sheria za kijeshi huwezi kutoa taarifa kama hiyo maana kuna msemaji wa Jeshi!!

Hicho kinachoendelea ni TAQIYYA yaani uongo kwa ajili ya mnyazimungu wao!!! Wajinga tu wanaweza kuamini UHARO huu
 
Ni set up, israel aliujua mpango kupitia misri(waliwatonya), israel wakaona ni opportunity ya ethnic cleansing
Wewe unajua maana ya ethnic cleansing? Au unaimba tu Wafuga Midevu na Majini?
 
Myahudi anajua kinachoendelea ndani ya Innere Circle ya Khamenei ashindwe kujua kinachoebdelea ndani ya Gaza?.
Huenda kainfiltrate HAMAS na anapenyeza ajenda zake za extremism ili baadaye apate wxcuse ya kufanya operation za kijeshi.

Jiulize wgy kwa miaka mingi Netanyahu anafacilitate HAMAS ipate hela kutoka Qatar?

Na jiulize kwa nini Israel yenye uwezo mkubwa tu wa kuipiga na kuishibda na kuimaliza HAMAS haifanyi hivyo?

Lengo ni excuse ya uwepo wa HAMAS iendelee huku yeye akiwapa wapalestina maisha magumu ili baadae wakimbie Gaza waliachie eneo.
Sababu zote hazina msingi kabisa!!
 
Unamaanisha Hamas na Israel wapo pamoja kiasi cha Israel kipanga mpango wa kujivamia, kuua kuteka alafu ikawachukua mateka wake ikawapelekea Hamas wawafiche kisha yenyewe ikaanza kuwashambulia tena marafiki zao Hamas na kuua viongozi wao? Hivi mnafikiria kwa kutumia nini eti?🤣🤣🤣
Hawa watu lazima wanafikiri kutumia Makalio!!
 
Wewe unajua maana ya ethnic cleansing? Au unaimba tu Wafuga Midevu na Majini?
Kinaendelea nini Gaza sasa hivi!?..hata Trump kasema huwezi fake njaa ya Gaza,watu wafa kwa njaa, hospital zinabomolewa..maana yake mfe kwa mabomu, risasi,njaa,maradhi...kivipi siyo ethnic cleansing?..tangu lini umeanza kumiliki akili!?
 
Kinaendelea nini Gaza sasa hivi!?..hata Trump kasema huwezi fake njaa ya Gaza,watu wafa kwa njaa, hospital zinabomolewa..maana yake mfe kwa mabomu, risasi,njaa,maradhi...kivipi siyo ethnic cleansing?..tangu lini umeanza kumiliki akili!?
Kwa hiyo kubomoa majengo ni ethnic cleansing? Kwa akili hizo endelea tu kuimba nyimbo za Wafuga Midevu na Majini!!
 
Video yenyewe ni ya michongo!! Una uhakika gani huyo ni askari wa iDF?

Kwa sheria za kijeshi huwezi kutoa taarifa kama hiyo maana kuna msemaji wa Jeshi!!

Hicho kinachoendelea ni TAQIYYA yaani uongo kwa ajili ya mnyazimungu wao!!! Wajinga tu wanaweza kuamini UHARO huu
We fala nini!?.. wanajeshi wangapi wameongea mambo ya vitani nje ya utaratibu!?.. halafu mbona umeumia sana!?
 

Attachments

  • 2025_08_01_15_17_45.mp4
    6.7 MB
We fala nini!?.. wanajeshi wangapi wameongea mambo ya vitani nje ya utaratibu!?.. halafu mbona umeumia sana!?
Acha ujinga nimekuuliza swali umejuaje huyo ni askari wa IDF?

Swali la Pili umeongelea kuwa askari wangapi wanaongelea mambo ya Jeshi bila utaratibu sasa wewe unataka sisi tukubaliane na maneno ya kijiweni?? Acha ujinga hapa siyo wote Mazuzu kama wewe!!
 
Nimeandika kubomoa majengo tu hapo!?.. kichwani una ubongo au haja kubwa!?
Jibu sasa Swali langu la msingi nini maana ya ethnic cleansing?? Nina uhakika hujui unafuata mumbo tu waarabu wakisema hivi nawe unazuzuka na kuimba kama kasuku!!
 
Acha ujinga nimekuuliza swali umejuaje huyo ni askari wa IDF?

Swali la Pili umeongelea kuwa askari wangapi wanaongelea mambo ya Jeshi bila utaratibu sasa wewe unataka sisi tukubaliane na maneno ya kijiweni?? Acha ujinga hapa siyo wote Mazuzu kama wewe!!
Hapo anapoongea huyo askari ni kijiweni?.. halafu mbona umeumia sana?!
 
Hapo anapoongea huyo askari ni kijiweni?.. halafu mbona umeumia sana?!
Unajua watu wajinga kama wewe ndiyo mnaliharibu Jukwaa hili kwa kuleta habari vijiweni hata unapoulizwa hapa unashindwa kujibu sababu habari yenyewe ni ya kupika hakuna ukweli wowote.!!

Hapo juu umeulizwa kama ulikuwa ni mpango hao viongozi wote wa Hamad waliouwawa nao mpango huo walikuwa wanaujua? Na walishiriki kwenye mpango huo? Hapo umeshindwa kujibu kwa sababu huna majibu!!
 
Unajua watu wajinga kama wewe ndiyo mnaliharibu Jukwaa hili kwa kuleta habari vijiweni hata unapoulizwa hapa unashindwa kujibu sababu habari yenyewe ni ya kupika hakuna ukweli wowote.!!

Hapo juu umeulizwa kama ulikuwa ni mpango hao viongozi wote wa Hamad waliouwawa nao mpango huo walikuwa wanaujua? Na walishiriki kwenye mpango huo? Hapo umeshindwa kujibu kwa sababu huna majibu!!
Imepikwa na nani hiyo video?
 
Unamaanisha Hamas na Israel wapo pamoja kiasi cha Israel kipanga mpango wa kujivamia, kuua kuteka alafu ikawachukua mateka wake ikawapelekea Hamas wawafiche kisha yenyewe ikaanza kuwashambulia tena marafiki zao Hamas na kuua viongozi wao? Hivi mnafikiria kwa kutumia nini eti?🤣🤣🤣
HAMAS iliundwa na Israel enzi zile wanapambana kumdoofisha YASIR ARAFAT na Chama chake cha FATAH. Kam tu walivyounda ISIS ambaye imezisumbua nchi karibu zote za Kiaarabu lakini kamwe hawajawahi hata kurusha jiwe ndani ya Israel na kamwe hawatarusha.
 
Back
Top Bottom