Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,764
- 36,189
Nadhani suala la exposure lilichangia Wazazi wengi kutowapeleka shule Vijana wao.Wqzazi hawakushindwa ila hawakuona umuhimu wa kusomesha.
Ujamaa uliiharibu Tanzania na unaendelea iharibu.
Elimu yatakiwa igharamikiwe
Siku hizi hadi jamii ya Wafugaji wanawapeleka shule za bei kubwa watoto wao.
Kuna kikao cha Wazazi tulifanya, nilishangaa kuona Wamasai wanawatoto pale shuleni. Baada ya kikao nilifanya nao mazungumzo, wakasema wao wameona kuwekeza kwenye Elimu za watoto wao ni muhimu wakati huu, maana mifugo huwa inakufa kwahiyo ni vyema watoto wasome ili waje waajiriwe ama wajiajiri kupitia ufugaji wa kisasa.
Imagine ada ilikuwa ni 2.8M kwa mtoto na yeye alikuwa na watoto 3 pale wakati huo mimi nina wawili tu 😆