Wanafunzi wengi wa msingi wanaishi na mzazi mmoja na hali zao ni duni

Kuna shule moja private walikuwa na huu utaratibu, mtoto mmoja mama yake akawa anampa chakula anamwekea majitu gani halafu anamwambia akawape wenzake ila yeye asile, ikawa watoto wote wanakula kile chakula baada ya shku kadhaa wanaweweka na kuanguka, uchunguzi ulivofanyika yule mtoto akagundulika, wakamfukuza na wakaachana na ule utaratibu. hii ni africa mkuu.
Watu wanachukulia vitu simple sana.
 
Hili ni muhimu kulijua kabla hujaenda kumwagia ndani.

Ingawa kuna binti unakuta yupo siku za hatari lakini anakubana miguu wakati unakaribia kufika mlima kilimanjaro, mwisho wa siku mnapata naye mtoto anakosa hata hayo matunzo
Hapo sijasema watoto wanavyoanza kubanduliwa wakiwa darasa la5, 6 na 7.
 
Ndo shida iyo.
Jamaa angu tumemaliza nae chuo anawatoto wa 5 mama tofaut anajisifia kweli ila namuliza unawatunza anasema mama zao watatunza.

Nikamuliza wewe mpaka unafika chuo mzee wako kaku support hao uliowatelekeza itakuaje anabak anachk chk tu.
Huyo rafiki yako ni mpumbavu
 
Hali ya umasikini wa kipato miongoni mwa Watanzania ni kubwa sana.

Imagine miaka ile ya 1999 hadi 2001 ada shule za msingi ilikuwa ni shilingi 2000 lakini wapo Wazazi walishindwa kutoa hichi kiasi.

Mimi nilichosema, nitazaa watoto nitakaoweza kuwatunza.

Ikitokea nimepata kwa Mchepuko ni lazima nitamfungulia mradi huyo Mchepuko ili kuweza kuondokana na aibu za namna hii.

Na siku hizi watoto wanavyofanana na Baba zao, utasikia umemuona huyu mtoto anayetembea pekua Baba yake ni yule Mzee Grahams wa JF

Kwa kweli ni aibu.

Tuzae watoto tutakaoweza kuwatunza
Wqzazi hawakushindwa ila hawakuona umuhimu wa kusomesha.

Ujamaa uliiharibu Tanzania na unaendelea iharibu.

Elimu yatakiwa igharamikiwe
 
changamoto ni nyingi kuliko juhudi za utatuzi hakuna anaejali kuhusu jamii yenye ustawi kila mtu ana anaangalia familia yake, nchi ya watu wenye roho mbaya na wachoyo plus ubinafsi. Nchii la ajabu alieleweki hata linachokifanya
Jiangalie mwenyewe, hao wengine hawakuhusu
 
Kuna watoto wanakaa kwa ndugu wenye maisha ila mtoto anaishi kama kaokotwa.

Kuna dogo mmoja wa kike kipind hiko yupo kidato cha tatu hawa waliomaliza mwaka jana alitoa mimba ya mienz mitano au minne ila kwao hakuna aliyejua wala shule maana muda wote alikuwa anavaa sweta....alitoa mimba kitoto akakitupa chooni mashoga zake wakaja kureport.......Yule dogo alikuja shangazi yake anayemlea pale shule na V8 private mpaka nikashangaa yule dogo kusoma pale na shangazi ake na mtoto wa kike siku zote asijue.
Kila mtu abebe msalaba wake
 
Kuna watu wanatoa maoni unajiuliza huyu mtu ana waza nini kichwani kwake!!
Kumbe wengi hawana watoto!
Kwa mtu alie mzazi kuna namna anachangia unaona kabisa haya maoni ni ya mtu mzima.
 
Kuna watu wanatoa maoni unajiuliza huyu mtu ana waza nini kichwani kwake!!
Kumbe wengi hawana watoto!
Kwa mtu alie mzazi kuna namna anachangia unaona kabisa haya maoni ni ya mtu mzima.
Zamani wakati nipo mgeni JF nilijua watu wa humu wana akili sana kumbe nilijidanganya.
 
Halafu kuna watu wanapigia debe shule za Kayumba, wanashangaza sana.

Yaani unataka mtoto wako asome na mtoto ambae kwao anaishi kama kuku wa kienyeji?

Kuna watoto uswazi wanalala chumba kimoja na wazazi wao, wakifika shule wanasimulia yaliyojiri usiku.

Vitoto vya uswazi ugumu wa maisha unawafanya wengi wanakua vidokozi, wengine wanaanza kugegedwa mapema sana yaani binti wa darasa la 6 hana bikra, halafu huyo unataka asome na mwanao?

Nawausia ndugu zangu tutafuteni pesa, yaani kama mnaponunua viwanja vya kujenga nyumba zenu mnachagua sehem za kishua na kukwepa uswazi basi hata shule wapelekeni Watoto wenu za kishua muwaepushe na kadhia za Kayumba
 
Halafu kuna watu wanapigia debe shule za Kayumba, wanashangaza sana.

Yaani unataka mtoto wako asome na mtoto ambae kwao anaishi kama kuku wa kienyeji?

Kuna watoto uswazi wanalala chumba kimoja na wazazi wao, wakifika shule wanasimulia yaliyojiri usiku.

Vitoto vya uswazi ugumu wa maisha unawafanya wengi wanakua vidokozi, wengine wanaanza kugegedwa mapema sana yaani binti wa darasa la 6 hana bikra, halafu huyo unataka asome na mwanao?

Nawausia ndugu zangu tutafuteni pesa, yaani kama mnaponunua viwanja vya kujenga nyumba zenu mnachagua sehem za kishua na kukwepa uswazi basi hata shule wapelekeni Watoto wenu za kishua muwaepushe na kadhia za Kayumba
Madini haya ila watakuelewa wachache unakuta mtu anapaponda mbagara ila anapeleka mtoto shule yenye mazingira ya mbagara.
 
Unampelekaje mwanao shule ya serikali afundishwe na mwalimu aliyefeli na ambaye hata shule nzima ifeli adhabu yao kubwa sana ni kuhamishwa kituo au anaendelea kudunda kwenye kituo kama hakijatokea kitu.
 
Hali ya umasikini wa kipato miongoni mwa Watanzania ni kubwa sana.

Imagine miaka ile ya 1999 hadi 2001 ada shule za msingi ilikuwa ni shilingi 2000 lakini wapo Wazazi walishindwa kutoa hichi kiasi.

Mimi nilichosema, nitazaa watoto nitakaoweza kuwatunza.

Ikitokea nimepata kwa Mchepuko ni lazima nitamfungulia mradi huyo Mchepuko ili kuweza kuondokana na aibu za namna hii.

Na siku hizi watoto wanavyofanana na Baba zao, utasikia umemuona huyu mtoto anayetembea pekua Baba yake ni yule Mzee Grahams wa JF

Kwa kweli ni aibu.

Tuzae watoto tutakaoweza kuwatunza
Omba Mungu hata huo mchepuko uwe na akili za kusimamia huo mradi, weng wao hawanaga hizo akili wanajua kuhanjuka tu afu kwishnehi. Wanajua baba yao utaprovide tu. Unaishia kuchota maji kisiman na kumwaga kwenye dead end...siku ukikosa unaweka mikono nyuma na kutubu kwa mkeo ama ndo wanaoachwa kurangaranga mitaani.
 
Unampelekaje mwanao shule ya serikali afundishwe na mwalimu aliyefeli na ambaye hata shule nzima ifeli adhabu yao kubwa sana ni kuhamishwa kituo au anaendelea kudunda kwenye kituo kama hakijatokea kitu.
Walimu kibao wana-reseat mitihani
 
Halafu kuna watu wanapigia debe shule za Kayumba, wanashangaza sana.

Yaani unataka mtoto wako asome na mtoto ambae kwao anaishi kama kuku wa kienyeji?

Kuna watoto uswazi wanalala chumba kimoja na wazazi wao, wakifika shule wanasimulia yaliyojiri usiku.

Vitoto vya uswazi ugumu wa maisha unawafanya wengi wanakua vidokozi, wengine wanaanza kugegedwa mapema sana yaani binti wa darasa la 6 hana bikra, halafu huyo unataka asome na mwanao?

Nawausia ndugu zangu tutafuteni pesa, yaani kama mnaponunua viwanja vya kujenga nyumba zenu mnachagua sehem za kishua na kukwepa uswazi basi hata shule wapelekeni Watoto wenu za kishua muwaepushe na kadhia za Kayumba
Aisee!
 
Nakumbuka skuli kwetu hapo jirani kwa m7 ilikuwa lazima kubeba lunch box, tena ni vjijini, huyu ugali, yule viazi, yule magimbi na tulikuwa tunashare...

Those were the best days of my life....
 
Omba Mungu hata huo mchepuko uwe na akili za kusimamia huo mradi, weng wao hawanaga hizo akili wanajua kuhanjuka tu afu kwishnehi. Wanajua baba yao utaprovide tu. Unaishia kuchota maji kisiman na kumwaga kwenye dead end...siku ukikosa unaweka mikono nyuma na kutubu kwa mkeo ama ndo wanaoachwa kurangaranga mitaani.
Michepuko wengi wanakuaga chenga maana kama kakosa akili ndogo za kuepuka kuzaa na mume wa mtu unategemea ndio awe na akili.
 
Omba Mungu hata huo mchepuko uwe na akili za kusimamia huo mradi, weng wao hawanaga hizo akili wanajua kuhanjuka tu afu kwishnehi. Wanajua baba yao utaprovide tu. Unaishia kuchota maji kisiman na kumwaga kwenye dead end...siku ukikosa unaweka mikono nyuma na kutubu kwa mkeo ama ndo wanaoachwa kurangaranga mitaani.
Usemacho ni sahihi Mkuu, mifano ipo mingi kudhihirisha hili.

Ni wanawake wachache unaweza kuwapa miradi na wakaisimamia vizuri.

Ikitokea hali hiyo, nabeba mtoto wangu nampeleka Bweni hadi anamaliza kidato cha sita.

Ila ni aibu kuacha damu yako ikiteseka kwa dhiki wakati nafasi ya kumtunza ipo.
 
Back
Top Bottom