Enzi ya Rais aliyepita si alipiga marufuku michango mashuleni! Na pesa ipo! Leo imetokea nini haya majanga??Nipo shule ya msingi X jijini Daslamu najitolea, nimepita shule tatu za secondary(moja A level) na mbili za msingi zote zikiwa ni za serikali. Hivyo basi nina uzoefu wa kutosha wa hii jamii ya wanafunzi wa shule za Serikali.
Nilichojionea ni kuwa watoto wengi wa shule ya msingi wengi wao wanaishi na mzazi mmoja na wengine ni wa michepuko yahn Baba ana ndoa lakini ana mtoto nje so anamuhudumia kimya kimya kwa kuja shule na kutoa mahitaji ya hapa na pale ila mtoto anaishi na mama yake.
Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua watoto wengi wa darasa la sita ambao mwakani wanaingia darasa la saba wamezaliwa 2009,2010,2011,2012 wengi wao ni watoto wa kwanza ambao walizaliwa bila wazazi kutarajia,hivyo wazazi wengi wao huwa hawadumu kimahusiano na kupelekea mtoto kulelewa na mzazi mmoja.
Siku hizi mashuleni kuna utaratibu watoto kuchangia pesa ya chakula ili wawe wanakula shuleni kuanzia asubuhi na mchana na kwa hapa nilipo mchango ni Tsh 1500.huwezi amini hii pesa kuna watoto wengi tu wazazi wao pesa hii inawashinda na kupelekea kushinda njaa kutwa nzima kila siku kwa week nzima maana wanatoka jioni saa 11.Hapa maana yake ni mtoto anakula kwao tu chakula cha usiku tu,masikitiko.
Miaka ijayo naliona pengo la aliye nacho na asiye nacho likiongezeka katika jamii kwani watoto hawa wanatokea mazingira duni,wanakosa maadili kwa kulelewa na mzazi mmoja, na wengine wakiwa wametelekezwa kwa ndugu. Hiki kizazi lazima kitaongozwa na watoto wa walamba asali ambao wanapata elimu bora na wana mazingira mazuri.
Miaka 15 ijayo tutaanza kujionea matunda ya hiki kizazi.
Picha watoto wakiwa wanafanya mtihani wa kujipima dawati moja wanafunzi watatu mpaka wanne....
Niambie mzazi hapo unasimamia vipi watoto wasiibiane majibu.????
View attachment 2771561
Kuna demu wangu ana miaka 22 kamaliza diploma mwaka juzi sahivi kashabeba mimba ya Mwana mwengine sahivi yuko kwao analea mimba naamini huyu lazima awe single maza.Elimu inahitajika sanaa watu awaelewii ni Kama tumevurugwa planned birth ni chache bongo, mambo ya kila mtoto anakuja na baraka zake
Mradi gani ebu tutajie.Nyinyi mmefanya tathmin juu hilo buku jero unalolizungumzia, Kwanza watoto sikuiz wanakaa sana mashulen mtoto akitoka sa kumi na mbili had kumi na mbili jioni sijui wanafanya nn na kufeli bado wanafeli. Shuleni ni sehem kujifunza tena kwa ratiba fupi tena iliyovunjwa vunjwa( sio kujifunza all day) waaachien watoto warud nyumbani mapema wapate misosi ya nyumbani. Mnafanya miradi yenu binafs. MNAIJUA
Kila mtu anangalia familia yake.Kuna watoto wanakaa kwa ndugu wenye maisha ila mtoto anaishi kama kaokotwa.
Kuna dogo mmoja wa kike kipind hiko yupo kidato cha tatu hawa waliomaliza mwaka jana alitoa mimba ya mienz mitano au minne ila kwao hakuna aliyejua wala shule maana muda wote alikuwa anavaa sweta....alitoa mimba kitoto akakitupa chooni mashoga zake wakaja kureport.......Yule dogo alikuja shangazi yake anayemlea pale shule na V8 private mpaka nikashangaa yule dogo kusoma pale na shangazi ake na mtoto wa kike siku zote asijue.
Kwa kweli ni aibu Mkuu😃😃 Mchek mtoto wa Mzee graham yuko peku na kaptura imetoboka matro yak wazi.
Kwann ukuoa?Kuna demu wangu ana miaka 22 kamaliza diploma mwaka juzi sahivi kashabeba mimba ya Mwana mwengine sahivi yuko kwao analea mimba naamini huyu lazima awe single maza.
Kwako rahic ila wengi wanashindwa.Kwa kweli ni aibu Mkuu
Yaani unashindwa hata viatu shilingi 3,000 pale Karume ama Nguo zipo za shilingi 1,500 ukienda asubuhi hapo Karume
Aibu Mzee
Point kuu ni uli plan kuleta kiumbe? Kama uliplan mtt awez pitia hayo mazngira.Kwa kweli ni aibu Mkuu
Yaani unashindwa hata viatu shilingi 3,000 pale Karume ama Nguo zipo za shilingi 1,500 ukienda asubuhi hapo Karume
Aibu Mzee
Eh..Nyie mnaoponda shule za private za msingi(english medium)na kupigia upatu shule za msingi serikali endeleeni kujidanganya.
Hawana hoja ..Wanapoga majungu shule za private primary(english medium) hawana hoja zaidi zaidi waseme mfuko hautoshi ingawaje kuna shule za english medium pasua kichwa.
Possibly Mkuu, tunatofautiana haliKwako rahic ila wengi wanashindwa.
Hili ni muhimu kulijua kabla hujaenda kumwagia ndani.Point kuu ni uli plan kuleta kiumbe? Kama uliplan mtt awez pitia hayo mazngira.
Kuna shule moja private walikuwa na huu utaratibu, mtoto mmoja mama yake akawa anampa chakula anamwekea majitu gani halafu anamwambia akawape wenzake ila yeye asile, ikawa watoto wote wanakula kile chakula baada ya shku kadhaa wanaweweka na kuanguka, uchunguzi ulivofanyika yule mtoto akagundulika, wakamfukuza na wakaachana na ule utaratibu. hii ni africa mkuu.Wazungu wenzetu wanawafungia watoto lunch box, watoto wajibebee vyakula wakale mashuleni. Kwanini serikali ama shule haijaweka option hiyo? Kwanini inalazimisha watoto wachange hicho kiasi Cha pesa ambacho mtoto hawezi kukimudu?.siwawaagize watoto waje na vyakula vyao?
Mbona nyumba nyingi hata zenye baba na mama mlo ni mmoja nao kati ya saa 9 na saa 10 jioni, hali hii imezoeleka na ni ya ya kawaida sana.Nipo shule ya msingi X jijini Daslamu najitolea, nimepita shule tatu za secondary(moja A level) na mbili za msingi zote zikiwa ni za serikali. Hivyo basi nina uzoefu wa kutosha wa hii jamii ya wanafunzi wa shule za Serikali.
Nilichojionea ni kuwa watoto wengi wa shule ya msingi wengi wao wanaishi na mzazi mmoja na wengine ni wa michepuko yahn Baba ana ndoa lakini ana mtoto nje so anamuhudumia kimya kimya kwa kuja shule na kutoa mahitaji ya hapa na pale ila mtoto anaishi na mama yake.
Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua watoto wengi wa darasa la sita ambao mwakani wanaingia darasa la saba wamezaliwa 2009,2010,2011,2012 wengi wao ni watoto wa kwanza ambao walizaliwa bila wazazi kutarajia,hivyo wazazi wengi wao huwa hawadumu kimahusiano na kupelekea mtoto kulelewa na mzazi mmoja.
Siku hizi mashuleni kuna utaratibu watoto kuchangia pesa ya chakula ili wawe wanakula shuleni kuanzia asubuhi na mchana na kwa hapa nilipo mchango ni Tsh 1500.huwezi amini hii pesa kuna watoto wengi tu wazazi wao pesa hii inawashinda na kupelekea kushinda njaa kutwa nzima kila siku kwa week nzima maana wanatoka jioni saa 11.Hapa maana yake ni mtoto anakula kwao tu chakula cha usiku tu,masikitiko.
Miaka ijayo naliona pengo la aliye nacho na asiye nacho likiongezeka katika jamii kwani watoto hawa wanatokea mazingira duni,wanakosa maadili kwa kulelewa na mzazi mmoja, na wengine wakiwa wametelekezwa kwa ndugu. Hiki kizazi lazima kitaongozwa na watoto wa walamba asali ambao wanapata elimu bora na wana mazingira mazuri.
Miaka 15 ijayo tutaanza kujionea matunda ya hiki kizazi.
Picha watoto wakiwa wanafanya mtihani wa kujipima dawati moja wanafunzi watatu mpaka wanne....
Niambie mzazi hapo unasimamia vipi watoto wasiibiane majibu.????
View attachment 2771561