Wanafunzi wengi wa msingi wanaishi na mzazi mmoja na hali zao ni duni

Enzi ya Rais aliyepita si alipiga marufuku michango mashuleni! Na pesa ipo! Leo imetokea nini haya majanga??
Wizard ipo je inalijua hili !
 
Elimu inahitajika sanaa watu awaelewii ni Kama tumevurugwa planned birth ni chache bongo, mambo ya kila mtoto anakuja na baraka zake
Kuna demu wangu ana miaka 22 kamaliza diploma mwaka juzi sahivi kashabeba mimba ya Mwana mwengine sahivi yuko kwao analea mimba naamini huyu lazima awe single maza.
 
Mradi gani ebu tutajie.
 
Kila mtu anangalia familia yake.
 
Kwa kweli ni aibu Mkuu

Yaani unashindwa hata viatu shilingi 3,000 pale Karume ama Nguo zipo za shilingi 1,500 ukienda asubuhi hapo Karume

Aibu Mzee
Point kuu ni uli plan kuleta kiumbe? Kama uliplan mtt awez pitia hayo mazngira.
 
Bora hao wanafunzi wanakaa kwenye madawati shule nyingi wanakaa chini ya miti. Suala la watoto kuwa na malezi ya mama pekee ni hao wanawake kutaka kumkomoa mwanaume kuondoka na watoto. Kutokana na shuruba ya maisha mwanaume hupata unafuu wa maisha na kupotezea kumrudisha mke wake na watoto.
 
Wanapoga majungu shule za private primary(english medium) hawana hoja zaidi zaidi waseme mfuko hautoshi ingawaje kuna shule za english medium pasua kichwa.
Hawana hoja ..
Ungewaacha tu maana ukweli wanao..
 
Point kuu ni uli plan kuleta kiumbe? Kama uliplan mtt awez pitia hayo mazngira.
Hili ni muhimu kulijua kabla hujaenda kumwagia ndani.

Ingawa kuna binti unakuta yupo siku za hatari lakini anakubana miguu wakati unakaribia kufika mlima kilimanjaro, mwisho wa siku mnapata naye mtoto anakosa hata hayo matunzo
 
Kuna shule moja private walikuwa na huu utaratibu, mtoto mmoja mama yake akawa anampa chakula anamwekea majitu gani halafu anamwambia akawape wenzake ila yeye asile, ikawa watoto wote wanakula kile chakula baada ya shku kadhaa wanaweweka na kuanguka, uchunguzi ulivofanyika yule mtoto akagundulika, wakamfukuza na wakaachana na ule utaratibu. hii ni africa mkuu.
 
Mbona nyumba nyingi hata zenye baba na mama mlo ni mmoja nao kati ya saa 9 na saa 10 jioni, hali hii imezoeleka na ni ya ya kawaida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…