Si kweli wanyama hawaingiliani ovyo kama binadamuUliza uambiwe, kuna beberu moja lilikuwa linajua kazi ni kumega tu! lilimega jike mpaka akafa halafu likawa linamega hata vidume wenzake. We acha dunia tambara bovu!
Si kweli wanyama hawaingiliani ovyo kama binadamuUliza uambiwe, kuna beberu moja lilikuwa linajua kazi ni kumega tu! lilimega jike mpaka akafa halafu likawa linamega hata vidume wenzake. We acha dunia tambara bovu!
Hata shoga au basha anakua hana hamu ya jike tena. Binadamu wana hisia, ukishautune ubongo kuwa mwanamme mwezio ni mzuri kwa physical contact, message inatumwa kwenye mwili hivyo utamwona mwanamke kama kiumbe tu.Na inasemekana akishaanza hako kamchezo, hata akipata dume haridhiki. sijui kuna utaalamu gani wanatumia.
Kumbe SA,mi nilifikiri hapa Bongo.Afadhali kama sio hapa kwetu.
u r not serious Boss!kuwa na shule ya wasichana watupu ndo madhara yake...
wangekuwa na wavulana,wangejifaidia mihogo ya jang'ombe.
sasa wavulana hakuna wafanyaje??????
Yote hii ni malezi pungufu toka kwa wazazi! Wazazi hawako moraly tuned!