uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,079
Ila pia sidhani kama kuzichana ni njia sahihi sana,shida ya Watanzania ni uongo, mwalimu hawezi kukuchania sketi/suruali bila sababu lazima kuna sababu.
Sent using Jamii Forums mobile app