directortmk
Member
- Oct 19, 2011
- 35
- 33
Wanafunzi nao wanapenda kuedit hizo sketi wanazoshonewa hapo shuleni na suruali zinaeditiwa kuwa "kamatia chini"...nadhani hilo ndio tatizo kuu.
Kuna kitu umekisahau kumbuka mwanafunzi hata akishonewa skirt na shule hao watoto ni day wakirudi mtaani wanapunguzabila ya kujua sababu ni nini?
shida mimi nimehisi "ni sketi fupi" lakini kama zinashonwa hapo na vipimo wanafahamu kwa nini uichane
kama zinashonwa hapo wana haki 100% kulalamika, ila kama zashonwa mtaani wajirekebishe washone zinazo endana na taratibu za shule.