Wanafunzi wa vyuo wanaongoza kwa kujiuza

Wanafunzi wa vyuo wanaongoza kwa kujiuza

Uchaw wa watoto wa chuo kuwa na gari na kuwa promic akimaliza masomo unamtafutia ajira....daaah utagegeda mpaka utawakimbia....mm hakuna chuo hapa dar sijatembea na mwanafunzi wao.....nakumbuka mwaka jana nilikuwa nagegeda wanachuo 26 .....kila siku ngoz mpya ....ujana raha kwa kwel

Uzee maji ya moto!
Utakuwa kitandani umekimbiwa na wanawake wote,unakohoa kama trekta la taka.
Utakumbuka starehe zote kwa machozi
 
Mi nazan kujiuza ni tabia ya mtu tu mbona hata wapo maofisin wanaujiuza?
 
watoto wa chuo utawapata alhamisi cinemax na hivi ni buku tano mwee
 
dom pale daa ni balaa chako ni chako club aziz na maisha yaani Wana njaaaa kaa buku 5 unajibebea mpaka asubuhi na chemba unazibua
 
Hao watakuwa vyuo vya hotel menejinent,kwanza ma dada poa huwa wanasema eti wanachuo!
 
dom pale daa ni balaa chako ni chako club aziz na maisha yaani Wana njaaaa kaa buku 5 unajibebea mpaka asubuhi na chemba unazibua
Teh teh... chako ni chako unakutana na malaya mchafu mchafu amechokaa afu anakwambia kwa nyodo huku amebana pua eti 'nasoma mwaka wa pili UDOM' khaa!
 
achana na maisha magumu ya chuo kutokana na ugumu wa pesa pia masomo yanapokua magumu wengi hugawa utamu kwa malecturer zao ili waongozewe marks pia na kuuza uroda ili wapate pesa.
pia wengi hutoka kwenye familia huwa wanabanwa sana na wazazi na sekondari wanachapwa ila chuo wanajiachia tuu wengine wanapanga na hakuna kuchungwa kokote pia na utandawazi unachangia na kuingia kwenye ukubwa pia ni sababu.
kwa asilimia kubwa wanachuo wanaongoza kwa ukimwi hasa wanawake. najua wengi wenu huku mmeshawatumia sana na ni mashahidi so nashauri watu wajifunze kitu hapa wale wasiokua wanajua haya mambo msije kulia baadae.
ni kwa vyuo vyote Tanzania na dunia kwa ujumla ushahidi mnao kuweni makini ndugu ukimwi upo japo unaua/hauuwi changanua hapo.
Na pia wanaongoza KwA hiv
Inasikitisha sana sababu wengine wazazi wao wanauza hadi Mali zao ili kuhakikisha... Watoto zao wanapata elimu.. Lakini watoto hao wanaenda huko vyuoni wanafwata mikumbo kufanya mambo ya fedheha[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] mwisho wa siku anamaliza chuo na ngoma
Mzazi anakuwa kupoteza muda, pesa, mtoto
 
Kuna kitu cha kufanya nadhani kuiondoa hii dhana ya kila baya kumtupia mwanamke. Huko kujiuza, ananunuliwa na mwanamke mwenzie? Jibu ni HAPANA, ikiwa jibu ni hapana, kwa nini mara nyingi tuwanyooshee vidole sana wao? (Ila na nyinyi wanawake ifike muda mjitambue sasa, maungo na miili yenu sio ya kufunuliwa funuliwa ovyo. Mjielewe!)
 
Asilimia kubwa ya dada zetu wanajuiza miaka hii. Japo yaweza kuwa sio kwa kujipanga mitaani kusubiri wateja, lakini wanajiuza sana tena inasikitisha...

Lakini wanauza kwa sababu wateja nao wamejaa tele. Hawawezi kujiuza mitandaoni, mitaani na makazini kama wateja wasingekuwepo.
 
Mkuuu pamoja na kugegeda wanafunzi wote hujagegeda wanafunzi wangu wa institute of adult education
Ahahaaa....hapo maktaba ndo niligegeda dada mmoja anautwa Jacklin mweupe hiv.....mwaka jana....
 
kila mwanamke anajiuza tofaut anapojiuzia tu.. kuna thread ilisemaga hivi ilizua balaaa kubwa
 
Back
Top Bottom