A
Anonymous
Guest
Kipindi hiki hali imekuwa mbaya zaidi na tunalazimika kununua dumu moja la Lita 20 kwa Tsh. 1,000 ambayo ni sawa na ndoo moja, Wakazi wa Hostel tukiuliza uongozi wa Wanafunzi na Warden wa Hostel wanatuambia lipo nje ya uwezo wao.
Hali hiyo inatusikitisha sana hasa kwa kuwa sisi ni wapangaji tunaostahili kupatiwa huduma zote muhimu ikiwemo maji.