Lazima watu muwe na busara wanachuo wengi hawakupiga kura na hii ilikuwa purposely wote mnajua ambacho ccm ingevuna kama vyuo vingekuwa havijafungwa. Msione simple ku comment kwakuwa mpo nyuma ya keyboard miongoni mwenu kipindi mnasoma mlipata mkopo wa serikali na hadi leo mnakatwa kwenye mishahara yenu mnavyo comment hebu vaeni viatu ungekuwa ndio wewe hapo.
Hapo umechagua ukawa,Nyumba yenu ni wapinzani,CCM inashinda tena kihujuma hujuma. Na Hatma ya Elimu yako ambayo ndo inaweza kuwa mkombozi hata li CCM likiendelea kutawala kama una Elimu yako hata nje ya nchi unaenda kutafuta maisha Kufanya mageuzi ya siasa kama mwanafunzi alikuwa mwana ukawa ndo ilikuwa tamaa yake sasa wakati anaugulia maumivu ya uchaguzi na mkopo ana kosa. sitashangaa kusikia wanafunzi wakijiua this time, ni wenye mioyo migumu tu wataweza kuikabili hii hali