Wanafunzi vyuo wakosa mikopo, Serikali haina fedha

Wanafunzi vyuo wakosa mikopo, Serikali haina fedha

Ni lini tutaachaa kujidanganya? Yaani hivi kweli mlifikiri zile kofia, tisheti, na kanga mlikuwa mnagawiwa ni za bure? Hiyo siku tutaamka kama Wazanzibari basi na akili zetu zitafanya kazi. Hawa vijana wataishia kula madawa ya kulevya ambayo nayo yanaletwa na haohao mnaowapigia makofi majukwaani. Mwenye kusoma namba hapa ni nani kama sio sisi watanzania?
 
Hapa kazi tu. Hao 12,000/- waanze tu masomo, wengine vuteni Subira, maana Hanna namna, kampeni zilikuwa pevu.
 
Nadhani serikali ikijipanga vizuri watapewa mikopo. Kwa sasa hela nyingi imetumika kwenye kampeni but ni jambo la kujiuliza "je hapakuwa na bajeti ya mikopo?" Na kama ilikuwepo kwa nini wasipewe kwa muda muafaka?
Serikali kupitia wizara ya Elimu ilijua mapema kuwa ni wanafunzi wangapi watadahiliwa mwaka huu. So kitendo cha kusema"subiri" ni mojawapo ya utendaji mbaya ambapo JPM anapaswa aanze nao hao hao.

Hela ya serikali itatumika je kwenye kampeni? Hizo kampeni zilikuwa za serikali? Hili haliingii akilini kabisa!
 
Si mlivaa madera t-shirts n kofia.
Mtajiju.
Hapa kazi tu
 
Hela ya serikali itatumika je kwenye kampeni? Hizo kampeni zilikuwa za serikali? Hili haliingii akilini kabisa!

Itaingia tu ukiilazimisha.
Wanaondesha Serikali ndio hao hao wafanya kampeni, ukipenda waite CCM aka CCM ni ileile. Hao wanafunzi waambie waandike kwenye karatasi idadi yao (namba) kisha waanze kuisoma hiyo namba!!
 
Lowassa :"Tutatoa elimu bure kutoka shule za awali mpaka chuo kikuu ", Akakatwa!, Haya sasa, Ngoja tuisome namba. CCM mbele kwa mbele.
 
sijui wazazi watalalamika? Maana waliambiwa kuwa elimu itakuwa bure mpaka chuo kikuu wakakataa! Lipa hela yoote!!!!
 
Daah tuliona raha kutazama fiesta bure KUMBE DAAAAAAAA!!!
 
Pesa nyingi January aliwapa wale wachang hong wanne washambulie jf na fikra pevu.....hahaha thi thi em mna roho mbaya sana ulaaniwe february jirani wa January.
 
Voucher ya 50000
 

Attachments

  • 1446809045211.jpg
    1446809045211.jpg
    44.9 KB · Views: 225
Mbeya university waliopata mwaka jana wamepunguziwa laki moja kla mmoja bla sabab bado wanafatlia wajue kwa nn n mbeya tu na kwa nn lak moja
 
Mkuu nimeupenda udadavuzi wako! Hii ndo nchi ya mataahira madanganyika. Wacha tukome labda tutatia akili kukichwa!! Jamani hivi mnaotupatia "like" kile kitufe mnakipataje?

Ukitaka ku like unagusa comment afu inaonekana selected pale juu upande wa kulia kuna vidot vitatu utagusa tena itatokea menu kisha utaona neno like
 
Ukitaka ku like unagusa comment afu inaonekana selected pale juu upande wa kulia kuna vidot vitatu utagusa tena itatokea menu kisha utaona neno like

Hii according kwenye cmu H6
 
Back
Top Bottom