Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
...
...ha ha ha ha Mtatukumbuka wapenda mabadiliko !!!
...ha ha ha ha Mtatukumbuka wapenda mabadiliko !!!
kama tutaitumia report ya Twaweza kama reference ya utafiti mdogo. ule utafiti ulionyesha magufuli ataungwa mkono na watu wenye elimu za darasa la saba, Lowassa angechaguliwa na wenye elimu ya form 4. labda tujitie upofu watu wenye elimu ya kuanzia form 4 nakuendelea nchi hii hawafiki hata million 5. simply Magufuri amechaguliwa na watu ambao hawajasoma ambao hawajui lolote nilisema kama bariadi chenge hapigi kampeni anapika wali maharage na anashinda basi ujue watanzania wanasafari ndefuTuliwaambia ccm ina mifumo mibovu ya watu wasiojali matatizo y watz,nyie mkaambiwa usichague chama chagua mtu,then mkampa kura JP alie kweny mfumo mbovu....Nafkir mtakifunza kitu kwamb ccm haiaminiki....
Hahaha haahahahaha Hahaha mkuuu umeuaaakama tutaitumia report ya Twaweza kama reference ya utafiti mdogo. ule utafiti ulionyesha magufuli ataungwa mkono na watu wenye elimu za darasa la saba, Lowassa angechaguliwa na wenye elimu ya form 4. labda tujitie upofu watu wenye elimu ya kuanzia form 4 nakuendelea nchi hii hawafiki hata million 5. simply Magufuri amechaguliwa na watu ambao hawajasoma ambao hawajui lolote nilisema kama bariadi chenge hapigi kampeni anapika wali maharage na anashinda basi ujue watanzania wanasafari ndefu
Ccm ni ile ile ooh ni ile isomeni namba vzuri hela zote waliongea wasanii
huu ni utangulizi tu Filamu yenyewe bado
ENL alisema elimi bure hadi chuo kikuu! JPM akasema hadi elimu bure hadi form 4. Watanzania wakafanya maamuzi! Maamuzi ndo hayo mkubaliane nayo!
Acha nijidunge tu wao waliyowachagua ndy wataisoma #hi nchii imejaa maajabu watu wamekataa elmu bure leo hii wanalalamika hawana mkopo! Tunahtaji matibabu maalumu