Wanafunzi vyuo wakosa mikopo, Serikali haina fedha

Wanafunzi vyuo wakosa mikopo, Serikali haina fedha

Magufuli ashaingia mtaenda chuo wote wala msikonde hapa kazi tu.
 
Kama L angekuwa ndio anaapishwa angeshusha mkono tu tayari wote mungepata lkn bahati mbaya haikuwa hivyo. Hata hivyo mmezidi form 4 kwa hiyo haiwezekani tutakuwa tunashughulika na wadogo zenu nyie kafanyeni kazi tu
 
Nadhani serikali ikijipanga vizuri watapewa mikopo. Kwa sasa hela nyingi imetumika kwenye kampeni but ni jambo la kujiuliza "je hapakuwa na bajeti ya mikopo?" Na kama ilikuwepo kwa nini wasipewe kwa muda muafaka?
Serikali kupitia wizara ya Elimu ilijua mapema kuwa ni wanafunzi wangapi watadahiliwa mwaka huu. So kitendo cha kusema"subiri" ni mojawapo ya utendaji mbaya ambapo JPM anapaswa aanze nao hao hao.
Aanze nao wakati pesa ilitumika kwa ajili yake kupata urais?
 
HAPA KAZI TU. Wafanye kazi wapate hela ya kujikimu na kulipa ada. Wapewe vibarua. Hapa kazi tu
HA HA HAAAAA kwani wameenda kusoma ama kujikimu!? HAPA KAZI TU,na ole wao wagome yale magari yanawahusu.JAMANI NATANIA TU MSIJE KUNITOA MACHO.inauma sana kukosa mkopo maisha ya chuo bila mkopo aseee ni shida sana maana kwa kuanza sharti nuwe na walau milioni 2.5 ama milioni 3,ila poa hela zote zilienda kwenye kampeni so wadogo zangu mlie tu!!!!!!!
 
hahaha,nyie mnaoshabikia hapa kazi tu sio ishu jamani

Hahah si ndo kauli mbiu ya rais wenu wa awamu ya 5? Mleta maendeleo....huhuhu kamaliza pesa kwny kampeni ili afaidi yeye,then huku sie twaumia,82.9% tumekosa mkopo..wake up gyz# HAPA KAZI TU
 
Eeeh wameipenda wenyewe sasa hapa ni kazi tuu
 
Back
Top Bottom