Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

Aiseee.We Nalendwa.But according to my experience no Teacher can allow such thing.
This is false accusation
 
Shule za Dar kiuhalisia zitaendelea kufelisha,zikifaulisha Basi itakuwa ni mbinu tu
 
Nashangaa wanaolalamika kuhusu Jangwani.
Mtoto anafundishwa na hasomi.
Kazi ya mwalimu ni kufundisha.
Suala la kufaulu ni la mtoto.
Hapo jamii inapaswa kuelewa
Labda wanataka mwalimu ndio aende kusoma Kwa niaba yao.Namkumbuka mwalimu Mmoja alitufundisha siye Alikuwa anatwambia You are supposed to study,If I study for you I will be doing injustice.
 
The very best point since I was Born[emoji1] [emoji1]
 
Shule za Dar kiuhalisia zitaendelea kufelisha,zikifaulisha Basi itakuwa ni mbinu tu
Haaa haaa.Hii Naikataaa
Hapana huu ni upotoshaji.
Believe me.Walimu Dar kwa jinsi wanavyotishwa Sasa Na wasioajiriwa mtaani ni wengi.Niamini wanafundisha kama hawana akili nzuri.
Watoto wanafaulu Kiukweliii
 
Labda wanataka mwalimu ndio aende kusoma Kwa niaba yao.Namkumbuka mwalimu Mmoja alitufundisha siye Alikuwa anatwambia You are supposed to study,If I study for you I will be doing injustice.
Bravo mwalimu.Alikuwa anasema ukweli tupu.
Kanuni IPO hivi.
Usiporuhusu kichwa chako kupokea unachofundishwa Na mwalimu ni sawa Na bure.
Lazima mfundishwaji.Awe tayari!!!
 
Haaa haaa.Hii Naikataaa
Hapana huu ni upotoshaji.
Believe me.Walimu Dar kwa jinsi wanavyotishwa Sasa Na wasioajiriwa mtaani ni wengi.Niamini wanafundisha kama hawana akili nzuri.
Watoto wanafaulu Kiukweliii
Dar kwani zamani walikuwa hawafundishi,walimu walikuwa wanafundisha tena nadhani Kwa kiwango kinachotakiwa.Shida ni kuwa wanatishwa walimu tu na wanafunzi plus wazazi wanachekelea tu.Ndio maana nimesema Dar wakifaulu itakuwa ni mbinu tu za ufundi zinatumika lakini hii Zima moto haiwezi faulisha .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…