Wanafunzi Chuo kikuu UDSM wapewa saa 48 kuondoka kwenye mazingira ya chuo

Kwani wamefanya uhalifu gani?
Leo Mimi mwenyewe nimetoka kukata ticket nimesikitika sana kukuta watoto wengi wanahangaika stand Arusha hawana ticket na mvua inanyesha.Nimeumizwa sana na hali hiyo.

Kitendo cha kufunga shule zote nchi nzima na vyuo kimeleta changamoto kubwa sana ya usafiri.Msongamano ninaouona stand,jinsi mabasi yetu yanavyosafiri watu wanafunga vioo vyote,sikuona maji ya kunawa wala sanitizer,watu kugusana kwenye ule msongamano wa stand ilikuwa kawaida tu.

Mungu aingilie kati maana kweli imekuwa nje ya uwezo wetu wa kufikiri,kuamua na hata kujilinda

Sent using Jamii Forums mobile app


On a serious joke, you didn't take a snap..!??
 
Nafahamu hatari inayowakaribia mabint wanafunzi wa vyuo ambao wameambiwa ndani ya 48 hrs wawe hawaonekani kuzagaa zagaa maeno ya udsm.

Najua vijana wa ghetto wanalamba tu midomo yao muda huu na kupasha moto mikono. Mbwa nyie... Acheni ujinga. Waacheni mabinti waje kwangu.msiwazuie.

Nakaribisha binti ambaye atakuwa tayari kupimwa na kuamua kuja kukaa hapa napoishi. Nina vyumba viwili ambavyo havitumiki.

Binti awe mzuri maana sitaki kukaa na bint ambaye ana tabia mbaya. Pia aelewe kuwa mimi sina lengo la kuwa naye kimapenzi. Nataka tu kumsaidia malazi na chakula. Si maradhi please.

Nasisitiza vijana mafisi acheni kutokwa udenda kipindi hiki cha hatari.mtakufa kwa corona. Shauri yenu.

Karibu dada utajisikia kama upo kwako.

UDSM wamefunga chuo tangu tarehe 28 Februari na walipaswa kufungua tarehe 22 Machi. Kwa hiyo kimsingi wameongezewa muda wa kukaa nyumbani wakiwa huko. Sasa sijui itakuaje kuhusu huu msaada wako ? Au utawapokea hata kutoka makwao waje wakaekae japo kidogo hapo kwako ?
 
SAA 48 chache sana wengine hawana ndugu wala jamaa wa kufikia ..

Asilimia kubwa Wanafunzi wametoka mkoani wakitegemea boom maisha mengine yaendelee..kuna wengine wameshasign kabla ya zoezi kusitishwa..

Hawa ndo wanatamba ila Baadae watakiona cha moto..wale wenzangu na Mimi sijui mtaelekea wapi mliokuwa mnategemea boom.. Chuo kingewapa Hata siku 7 zingetosha kupambania kurudi mikoani wale wa mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye kudeal na majanga kama haya hizo option za siku 7 sijui 14 hazipo, minimaze the risk as possible. Siku 7 akitokea wagonjwa wawili tu hapo chuo ni majanga zaidi ya hilo janga la nauli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu mmekuwa wajuaji wa kila kitu,na kujitia wajuvi,mnadai haki hata pasipo hitaji kudai haki ,pole sana
SAA 48 chache sana wengine hawana ndugu wala jamaa wa kufikia ..

Asilimia kubwa Wanafunzi wametoka mkoani wakitegemea boom maisha mengine yaendelee..kuna wengine wameshasign kabla ya zoezi kusitishwa..

Hawa ndo wanatamba ila Baadae watakiona cha moto..wale wenzangu na Mimi sijui mtaelekea wapi mliokuwa mnategemea boom.. Chuo kingewapa Hata siku 7 zingetosha kupambania kurudi mikoani wale wa mbali

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna binti ambae yupo chua hana pa kwenda au kaka poa aniPM nitampa msaada ambao hatategemea nipo mitaa ya goba nyumban kwangu halafu single
 
1/Kuna waliokopa wakijua boom Ikiingia wanarudisha.
2/Kuna wale walibaki hostel sababu home mbali nauli yakwenda na kurudi karibia lakhi.
3/Kuna waliokosa nauli kabisa.
4/Kuna ambao wamefanya chuoni ndio home hawapataki tena kwao sababu home kijijini sana na washakua watoto wa town.
5/Kuna wanaovimba town kwa mshiko wa boom.
6/.....
7/.....

Kiama chao ni after 48 hrs, hawatakiwi kuonekana huko hostel.
255657891962_status_700f0102080c49d3a6221aab17b2dbe2.jpeg
 
Back
Top Bottom