Haaa haaaa jamani mbavu zangu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]UzinZ sawa umeonesha. Ulevi na disco vipo wapi kwnye huo mchoro wako!? Upo chuo gani?
Haaa haaaa jamani mbavu zangu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]UzinZ sawa umeonesha. Ulevi na disco vipo wapi kwnye huo mchoro wako!? Upo chuo gani?
Pole mkuuMkuu moyo na maini vinaelekea kukutana
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji57] [emoji57]Haaa haaaa jamani mbavu zangu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utakuwa ulikuwa mpenzi wa series bila shakaMimi wakati niko chuo nilikuwa sieleweki yani kusoma sipendi,starehe sipendi.
Yani umejuaje,yani nilikuwa series addict.Utakuwa ulikuwa mpenzi wa series bila shaka
Kugonga ni anasa?
Nakuona nakuonaDah full kupiga exile
Maana ukikosa vyote series hukosi,Series gani uliipenda sanaaaaaa??
[emoji1] [emoji1]Wanafanya hayo ili wawe na chakuhadithia uzeeni...
Hebu tumegee experience khusu hiloDah full kupiga exile
Ulikuwa muhangaPale udsm hall five haka katabia ka kupigana exile kalizi sana.
Ujinga kivipi broZilikuwa ni enzi zile za ujinga mkuu
Angalia decker ya chini kwa umakini na hata chini ya kitanda hivyo viatu.sioni hata uzinzi humo! kwani si kila mmoja kalala kitanda chake!
Mbona sie wakati tuko JKT tulikuwa tunakwenda kulala kwenye mahanga ya wanaume kwa kuwa yalikuwa karibu na kombania ili afande akipuliza filimbi ya mchakamchaka tuwahi kufoleni na hatukuwa wazinzi na wala hatukuwa tuna duuu!!!!