MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 305
- Thread starter
- #21
jibu tu mkuuNikijibu ntatoka nje ya mada
jibu tu mkuuNikijibu ntatoka nje ya mada
Kweli mkuuna baadae wanakuja kulia hoo gpa kimin na mwishowe wana temwa kwenye sr zao
Umeongea vizur.Mmmmmh cyo kweli hyo ni perception tu ya watu lkin kiuhalisia maisha yanatofautiana sanaaah wanaopenda bat@z wapo watu wadin wapoz an ni kama street tyuuu
duuh mkuu we ni nomaJe weye ndo huyo hapo chini au?? Siku huyo wa juu akileta nawe utakuwaje maana yaonesha wa juu alibaki kuangalia pornooo. Kweli utoto raha mpaka baasi. Ulienda kutafuta anasa au ilim??
chuo ni level fulan watu hujichunga bila mchungaj lakin waliozoea wachungaj ndo hukumbwa na mabalaa mengi...Kweli mkuu
atakuwa zayoni huyuUzinZ sawa umeonesha. Ulevi na disco vipo wapi kwnye huo mchoro wako!? Upo chuo gani?
duuh mkuu we ni noma
Ulijuaje kama anaangalia porn ?
Inaonekn we mzoefu xnHuoni alivyotupa shuka mbali huku kaishikilia sm juu ili aone vizuri?
Nimezpt vyuo Jirani km Udom n kDaaah kweli huna maada ya kuleta mkuu...wewe ulipita au uko chuo basi hayo maisha utakuwa/una ya experience
Nimeishia kucheka tu .uyo wa juu anapga punye au ni vip mana was chini yupo na mwanamke
Bora umeongea ukwelii maana kuna watu humu! Wanajua sana hiyo life style sema wanajitoa fahamu tuuMimi ni kweli nlkuaga ivyo. Kunasiku nilimuonea huruma roommate wangu mpaka nltamani nimpe sub au tupge threesome. Ila tulikuwa nanaeshimiana sana. Ila kusema ukweli kuna wadada wanaroho gumu. Unapiga mashine mate wako yupo pembeni anapika au anaangalia tv. Wakati mwingne tunaingia chooni kusex tena choo ulkuwa kubwa kma usu ya chuma ila mate yupo ndani katulia. Dem akizidisha kelele anafanya kuongeza saut ya mzk