Wanachuo wengi maisha yao yako hivi!

Wanachuo wengi maisha yao yako hivi!

Chuo gani hicho kinaruhusu matumizi ya majiko ya Umeme
 
Sijawahi kufanya mchezo huo.Nilipo mimi sijawahi kushuhudia upuuzi huo,ht roomMate ananifahamu hawez kufny upuuzi huo mbele yangu
Ni kweli. Nakumbuka semester ya kwanza watu mnaishi randomly. Kadri muda unavyozidi kwenda mna-align polepole. Wafia dini room yao. Masharobaro wanakusanyana room zao, wazee wa gambe kwao, marastafari wa kumoka kwao, wa vitobo kwenu, majoni kisomo wanakusanyana, answari suni kwao. Mwisho wa siku hostel ime-align, no complain.
 
Ni kweli. Nakumbuka semester ya kwanza watu mnaishi randomly. Kadri muda unavyozidi kwenda mna-align polepole. Wafia dini room yao. Masharobaro wanakusanyana room zao, wazee wa gambe kwao, marastafari wa kumoka kwao, wa vitobo kwenu, majoni kisomo wanakusanyana, answari suni kwao. Mwisho wa siku hostel ime-align, no complain.
Nashukuru umeelezea experience yako
 
Mimi ni kweli nlkuaga ivyo. Kunasiku nilimuonea huruma roommate wangu mpaka nltamani nimpe sub au tupge threesome. Ila tulikuwa nanaeshimiana sana. Ila kusema ukweli kuna wadada wanaroho gumu. Unapiga mashine mate wako yupo pembeni anapika au anaangalia tv. Wakati mwingne tunaingia chooni kusex tena choo ulkuwa kubwa kma usu ya chuma ila mate yupo ndani katulia. Dem akizidisha kelele anafanya kuongeza saut ya mzk
ke na me wote Hawana haya
 
Jihadhari usijemaliza chuo na AIDS badala ya A's...ts okay to have fun but usipitilize,matumizi mabaya ya uhuru wa mwanachuo yanaweza kukuponza...my Uni days nlikua shule shule na mimi ili nipate GPA nzuri,apart frm school nlipenda kushiriki ktk projects za academic groups zile,inakujenga kuwa mtu makini
 
Wanafunz wa sanaa ya ualimu ndo zao hizo...ndo maana anko Magu anawatema.

Hahaa,just kidding wakuu
 
Wenye tabia ulizozitaja hapo chuoni hawafiki hata 20%. Sa sijui unazungumzia wingi upi.

Unajaribu kukieleza ni propaganda za mtaani.

Nilipokuwa Sekondari nilifikiri Kama wewe lakini Mara nilipoingia chuoni mambo yalikuwa kinyume kwa asilimia kubwa.

Suala kubwa nililoliona ni Uhuru lakini hayo mengine ni Porojo za watu wasiokaa na makundi yote.

Chuoni kuna makundi mengi,
Kuna wenye uwezo ambao kwa vyuo vya serikali Kama Udsm, Sua, Udom, Mzumbe, Muhas n.k kundi hili hawazidi 20% ya wanachuo katika vyuo tajwa hapo juu(serikali).

Wenye Mkopo.
Kundi hili kwa baadhi ya vyuo ni wengi huku vyuo vingine wakiwa ni wachache.

Unachojaribu kuelezea mtoa Uzi ni kuwa Watu waliokaribu yako ndio wenye tabia hizo ulizoziainisha.

Nilitegemea utaje miongoni mwa yafuatayo ambayo wanachuo wengi hupendelea kufanya wakiwa chuoni;
1. Kuvaa Earphones masikioni kila Mara.(68%).
2. Kuvaa mabegi ya migongoni na mikoba kwa wadada.(95%)
3.Kulala Sana mchana hasa siku za wikiend. Kutokana na kukosa kwa kwenda.(70%)
4. Kukaa bila ramani au ratiba yoyote pale wakisubiri vipindi vilivyoacha na masaa yasiopungua mawili.(75%) by
5. Kutokujali mambo yajayo baada ya wao kumaliza chuo.(86%)
6. Kuvaa kufuatana na mitindo husika ya wakati.(70%).
7.kumilikia simu kupangusa-Smartphone(87%).


1. Kwenda disco,Nightclub, n.k (30%).
2. Kusheherekea Sikukuu za kuzaliwa. (10%).
3. Michezo,mitindo, na burudani(25%).
4. kucheki Movies kwenye PC(40%).
5. kutembea mtu na mpenzi wake (10%).
6. Kutembea mwenyewe
Mwaka wa Kwanza 45%
Mwaka wa pili. 10%
Mwaka wa tatu 35%.

7.Kutembea zaidi ya wawili
Mwaka wa Kwanza 55%
Mwaka wa pili 35%.
Mwaka wa tatu.12%.

8.kutembea watu wawili pekee.
Mwaka wa kwanza 30%
Mwaka wa pili 60%
Mwaka wa tatu's 65.
 
Habarini wanaMMU,

Nimependa kuShare nanyi maisha ya wanachuo walio wengi ambayo ni uzinzi,ulevi bila kusahau Disco usiku kucha.
6228b10b2e01b40c500a883b2b3e519a.jpg


Ni hatari sana maisha hayo.

Kama ulipitia maisha hayo tupe experience yako.

Karibu!!!!!!!
Niwashauri tu sio vizuri kuweka Laptop kwenye kitanda (Godolo)
 
Back
Top Bottom