Wanachuo wangu wananitega

Wanachuo wangu wananitega

Aisee!! Ukiwaacha hao mabinti hata shetani atakushangaa, chapa ilale brother- kaka!!
 
papuchi za free zikiwepo kelele,,za kununua kelele,,,nawashangaa sana nyie wavulana
 
Usimuegeshe mwanamke unayeishi naye nyumba moja.

Usimuegeshe rafiki wa dada yako.

Usimuegeshe mfanyakazi mwenzako.

Usimuegeshe mwanafunzi wako.

Usimuegeshe mdogo/ dada wa mpenzi wako.

Hizo ni golden rules.
Za wanaume.
 
asante kutupa taarifa mkuu............
 
Nlishasimamishwa kazi kwa kuwachapa kwa fujo ,now nimerudishwa kazini naogopa ntaharibu tena kazi si unajua usawa wa magu vacancies ni za kusotea
Hapa umedhihirisha uongo wako

Kwenye uzi wako inaonesha kwamba huwa unawakwepa kiasi kwamba hata namba ya simu kuwapa unaogopa ambapo pia ni uongo mwingine kwa kuwa wale class representative huwa wana namba za ma lectures sasa wewe imekuaje kuaje usitoe

Naungana na miss chagga i'm sorry to say ila navyoona jogoo wako hapandi mtungi au laah una kibamia
 
Usimuegeshe mwanamke unayeishi naye nyumba moja.

Usimuegeshe rafiki wa dada yako.

Usimuegeshe mfanyakazi mwenzako.

Usimuegeshe mwanafunzi wako.

Usimuegeshe mdogo/ dada wa mpenzi wako.

Hizo ni golden rules.
Please naomba ufafanunuzi wa neno "Usimuegeshe",otherwise zinaonekana kwel ni golden rules.
 
Chuo gani hicho nije kufanya utalii wa ndani kuangazia warembo?
 
Kumbe huku ndo mnakocheua mavitu yenu ngoja mkulu aje kucheki shilawadu huku.
 
Back
Top Bottom