Wanachuo wangu wananitega

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
264
378
Habarini wadau,

Mwenzenu nina changamoto sana juu ya sketi za hawa wanachuo wangu ninaowafundisha. Yani watoto ni warembo sana ila sasa haya mavazi yao ni mtihani sana nikiwa napiga lecture hawa watoto wanaokaa mbele yangu wanajiachia sana.

Ni chuo kinachotoa kozi za hotel na utalii ila maadili ya kazi yananibana kuwala hawa wanachuo wengi washanifuata sana, Mara ticha tupeleke tour hotelini, Mara ticha tuoneshe kwako tukutembelee na wengine ndo wanataka namba yangu ila daaah naogopa jamani.Lazima kuheshimu kazi.
 
Nlishasimamishwa kazi kwa kuwachapa kwa fujo ,now nimerudishwa kazini naogopa ntaharibu tena kazi si unajua usawa wa magu vacancies ni za kusotea
Bac mkuu achana nao, usije timuliwa kwa mara ya pili, na ukishatimuliwa hata salamu hawatakupa
 
Sifa moja ya kuwa Lecturer ni kula mizigo ya Watoto.

Mind you, siyo kwa kutumia mgongo wa Ofisi yako.
Exactly. Mara nyingi kumtafna mwanafunzi wako wa chuo Haina shida ila usitumie mamlaka mtafte kawaida mkubaline. Then usiwachanganye sana. Nakumbuka UDSM kulikuaga na lecturer mwanamke alikua namme wake alafu pia ni Mwanafunzi wake. Sio kwamaba mama alikua mkubwa hapana. Mme alibweteka na diploma yake. Mama akachanja mbuga kasoma degree then masters, kaenda hadi PhD, baba anakuja kushituka mama kashakua lecturer. Kwahiyo akawa anamfundisha Mme wake. Kampiga supp kama kawaida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom