Mkuu njoo ghetto nikutie ndo utajua kama sidindi au lah,najali kibarua changu ,na hawa watoto wanazingua sitaki kuharibu kaziHapa umedhihirisha uongo wako
Kwenye uzi wako inaonesha kwamba huwa unawakwepa kiasi kwamba hata namba ya simu kuwapa unaogopa ambapo pia ni uongo mwingine kwa kuwa wale class representative huwa wana namba za ma lectures sasa wewe imekuaje kuaje usitoe
Naungana na miss chagga i'm sorry to say ila navyoona jogoo wako hapandi mtungi au laah una kibamia
Kiongozi heshima yako.. Aisee niunganishe na college/vyuo hivyo na mimi nipige pindi..Mkuu njoo ghetto nikutie ndo utajua kama sidindi au lah,najali kibarua changu ,na hawa watoto wanazingua sitaki kuharibu kazi
ww ndo yule james delicious wa kwenye mitandao nn??Habarini wadau,
Mwenzenu nina changamoto sana juu ya sketi za hawa wanachuo wangu ninaowafundisha. Yani watoto ni warembo sana ila sasa haya mavazi yao ni mtihani sana nikiwa napiga lecture hawa watoto wanaokaa mbele yangu wanajiachia sana.
Ni chuo kinachotoa kozi za hotel na utalii ila maadili ya kazi yananibana kuwala hawa wanachuo wengi washanifuata sana, Mara ticha tupeleke tour hotelini, Mara ticha tuoneshe kwako tukutembelee na wengine ndo wanataka namba yangu ila daaah naogopa jamani.Lazima kuheshimu kazi.
amshonee na makalio?? maana kinachotamisha sio nguo ni kilichopo mule ndaniKwa nini usi mshonee mkeo/girlfriend,Nguo Kama hizo zinazokuchangavya.itakuwa fresh,kuliko kuhatarisha kibarua chako
kutoka kimapenz na mwanafunz wako sio kosa mkuu tatzo kama utatumia position yako kushawishHabarini wadau,
Mwenzenu nina changamoto sana juu ya sketi za hawa wanachuo wangu ninaowafundisha. Yani watoto ni warembo sana ila sasa haya mavazi yao ni mtihani sana nikiwa napiga lecture hawa watoto wanaokaa mbele yangu wanajiachia sana.
Ni chuo kinachotoa kozi za hotel na utalii ila maadili ya kazi yananibana kuwala hawa wanachuo wengi washanifuata sana, Mara ticha tupeleke tour hotelini, Mara ticha tuoneshe kwako tukutembelee na wengine ndo wanataka namba yangu ila daaah naogopa jamani.Lazima kuheshimu kazi.