Wanachuo hivi mtahonga tena fedha za Mkopo???

Wanachuo hivi mtahonga tena fedha za Mkopo???

Huyu jamaa atakuwa mhanga mkubwa sana katika yote aliyoyataja na bahati mbaya kuna uwezekano mkubwa kuwa alisoma ualimu wa histori na vitenzi mbinuko. Leo ajira zimewekwa mfukoni, mtaani noti hazipo, biashara hana mtaji, kilimo hakuna mvua ameanza kujutia aliyoyafanya wakati anasoma-wacha aisome namba mwenyewe.
na vipera vya fasihi,eti kwa ushauri tumpigie huyu jamaa sijui kala maharagwe ya wapi huyuuuu
 
Ndo maana wenzetu wazungu wanafanikiwa kwasbb;;
Wengi wao wanamalengo,,,,wanaratiba wanajua ipi ya kula na ipi ya kutumia. Lakn pia wengi wanatoa sana. Ww unafurahia pale anapokupa vitu,,kumbe mwenzako anakua amepanda mbegu
Wewe hujafika ulaya, huu utapeli wa dini wazungu walishaupuuza siku nyingi.

Usitiwe upofu na mashirika ya dini yanayowaletea pesa za bure mnakula tu wana target zao na wao wanakula hizohizo na wanazalishia ajira. Huna la kunidanganya kwenye dini, tunakwenda nyumba za ibada kwa sababu ya kujiweka pamoja kwenye community tu hakuna la zaidi, Mungu hayupo kanisani wala msikitini bali nafsini mwa mtu.
 
na vipera vya fasihi,eti kwa ushauri tumpigie huyu jamaa sijui kala maharagwe ya wapi huyuuuu
Mbaya zaidi pesa yenyewe wananywea bapa na kufanyia uzinzi, sasa si bora tu ninywee mwenyewe bia?
 
Nafikiri yupo kwenye kitengo cha kupokea fungu la 10. Je, wanaolia na kodi kuongezeka naona hawapeleki fungu la 10? Acha ndoto za mchana, kama kwenu kuna maisha mazuri usijaribu kuji compare na wengine
 
Nilichoelewa ni kwamba,kwa maombezi zaidi na uwekaji wa hilo fungu la kumi,wawasiliane na wewe kupitia hizo namba

Huu ni zaidi ya ujasiriamali wa mwinjilisti masanja mkandamizaji
Haaa Kumbe Masanja mkandamizaji na yeye anahusika.
Naona mtoa mada amejitahidi kuelezea , Ila amesahau kuwa iman zinatofautiana.
Na kutokana na alichokiongea watafanya wahusika.Na kama mtu sio muhusika hakuna haja ya kulumbana
 
Haaa Kumbe Masanja mkandamizaji na yeye anahusika.
Naona mtoa mada amejitahidi kuelezea , Ila amesahau kuwa iman zinatofautiana.
Na kutokana na alichokiongea watafanya wahusika.Na kama mtu sio muhusika hakuna haja ya kulumbana
Utabarikiwa. Endelea kumwamini Mungu
 
Nafikiri yupo kwenye kitengo cha kupokea fungu la 10. Je, wanaolia na kodi kuongezeka naona hawapeleki fungu la 10? Acha ndoto za mchana, kama kwenu kuna maisha mazuri usijaribu kuji compare na wengine
Mm naamini waliopo Chuo sasa hawatakubali kuhonga mkopo wao na wala hawatatumia tena matumizi ya anasa. Na ww unaekatwa sasa mkopo wa chuo huo 15% jitahd kumtolea Mungu na Fungu la kumi bila kujali itabaki shilingi ngapi??? Ni bora kuawa na kidogo lakn ulinzi upo,,kuliko ukabaki na pesa nyingi lakn hazina ulinzi.
Mungu awasaidie ktk hilo
 
Hahahaha izi ni story inanifurahisha yaani unapata laki 5 alafu ukatoe fungu la 10? hizi story mnadanganyana sana mi namkubadili sana unaenda kwa mwanachuo unakuta Ana chumba kizuri, kipo full umo ndani maana ata akimaliza chuo atajua wapi pakukaa uku anatafuta ajira sio unamaliza chuo unarudi kwa mama ata godoro hauna ni wehu, Hizo dini ni kupeana umasikini alafu wachache wananufaika na pesa za wenzao ngoja mwaka huu muisome nambA maana mmewanyonya sana, pesa zetu zitapelekwa kulindwa benki na sio kumpa mtu ajaze tumbo lake
 
Haha haha...we nawe utakuwa mpigaji tuu km mzee wa bapa a.k.a transforma..
 
Ndo maana wenzetu wazungu wanafanikiwa kwasbb;;
Wengi wao wanamalengo,,,,wanaratiba wanajua ipi ya kula na ipi ya kutumia. Lakn pia wengi wanatoa sana. Ww unafurahia pale anapokupa vitu,,kumbe mwenzako anakua amepanda mbegu
kweli kabisa wanatoa sana kusaidia kwenye charity hio ni sehem ya utamaduni wao sas sis sio utamadun wetu kutoa ndio maana tunafundishwa kutoa fungu la kumi maana utoaji wetu ni mdogo sana...tunatoa kilichobaki baada ya matumiz
 
Nikuulize swali?? Kwan ktk zile pesa za mkopo kuna fungu la kununulia sofa???? Au music system???? Unawezaje kusema ile pesa ni ndogo ikiwa umepewa kwa ajili ya chKula alafu ww ukaenda kununua SOFA??? KWANI SOFA NDO ILIKUFANYA USOMA UELEWE????

MM kama Mtu wa Mungu kazi yangu ni kusema unatakiwa kutoa Fungu la kumi bila kujali ww unaamini nini. Ufunguke
Kwenye ile fedha kuna bajeti ya fungu la kumi?

Ukitoa fungu la kumi ndio utasoma na kuelewa?
 
Pesa yoyote unayopata bili kujali imetoka wapi, ni lazima uitolee fungu la kumi. Fungu la kumi inalinda pesa hisika tuuu. Kama ya mkopo hujatoa fungu la kumi,,ujue pesa za mkopo hazina ulinzi,,,
Acha upumbavu wewe
 
Dah kununua computer ni anasa duuh
Kweli Magu anakazi sana na raia kama huyu mtoa mada. Sidhani hata kama unafahamu matumizi ya hiyo computer yenyewe siku nyingine uache kukurupuka na uchungaji wa kichwara huu
 
Haaa Kumbe Masanja mkandamizaji na yeye anahusika.
Naona mtoa mada amejitahidi kuelezea , Ila amesahau kuwa iman zinatofautiana.
Na kutokana na alichokiongea watafanya wahusika.Na kama mtu sio muhusika hakuna haja ya kulumbana


Post haikubagua wenye imani na wasio na imani bibiee
 
Alichokiongea inawezekana kikawa sahihi asilimia zote but kinaweza kikawa wrong kwa 99% lakini nahisi mtazamo wake ni biased sana.....na fungu la kumi huwa tunatoa kutokana na source yako ya income angenambia sadaka ni sawa kabisaaaa
Hahahahhaha daaaaa etiii vitenzi mbinukooo hahahahhaha
Huyu jamaa atakuwa mhanga mkubwa sana katika yote aliyoyataja na bahati mbaya kuna uwezekano mkubwa kuwa alisoma ualimu wa histori na vitenzi mbinuko. Leo ajira zimewekwa mfukoni, mtaani noti hazipo, biashara hana mtaji, kilimo hakuna mvua ameanza kujutia aliyoyafanya wakati anasoma-wacha aisome namba mwenyewe.
 
Huyu jamaa atakuwa mhanga mkubwa sana katika yote aliyoyataja na bahati mbaya kuna uwezekano mkubwa kuwa alisoma ualimu wa histori na vitenzi mbinuko. Leo ajira zimewekwa mfukoni, mtaani noti hazipo, biashara hana mtaji, kilimo hakuna mvua ameanza kujutia aliyoyafanya wakati anasoma-wacha aisome namba mwenyewe.
Hahahahhaha daaaaa kitenzi mbinukoooo
 
Back
Top Bottom