Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,098
- 144,560
Hawa watu hawajiamini na wanafikiri maneno ndio yatawavusha na kuwapa kura mwaka 2020 kitu ambacho si kweli na wala hakipo.
Wanadhani kuwabana wapinzani ndio kufanikiwa ila watambue maneno hata kwenye kanga yamo.
Uzuri watu wanawasikia na wanaweka kumbukumbu hivyo wanasubiri utekelezaji. Kwenye sukari mlisema mengi ila leo yamewashinda na mmeamua kukaa kimya kwa aibu.
Nawambia subirini kusutwa maana maneno mazuri ni mengi kuliko vitendo mithili ya mwanaume anaetongoza mwanamke kwa maneno matamumatamu ili hali moyoni hana mapenzi nae kama ambavyo nyinyi hamna mapenzi na wata wenu zaidi ya kuwarubuni tu.
Ni ajabu pia kwa watu wanaosema siasa sasa basi lakini watu hao hao wakipata nafasi kwenye majukwaa wanapiga siasa na kutoa kejeli na vijembe kwa wapinzani!
The guy can talk the talk, but funny enough, can never walk the walk!
Wanadhani kuwabana wapinzani ndio kufanikiwa ila watambue maneno hata kwenye kanga yamo.
Uzuri watu wanawasikia na wanaweka kumbukumbu hivyo wanasubiri utekelezaji. Kwenye sukari mlisema mengi ila leo yamewashinda na mmeamua kukaa kimya kwa aibu.
Nawambia subirini kusutwa maana maneno mazuri ni mengi kuliko vitendo mithili ya mwanaume anaetongoza mwanamke kwa maneno matamumatamu ili hali moyoni hana mapenzi nae kama ambavyo nyinyi hamna mapenzi na wata wenu zaidi ya kuwarubuni tu.
Ni ajabu pia kwa watu wanaosema siasa sasa basi lakini watu hao hao wakipata nafasi kwenye majukwaa wanapiga siasa na kutoa kejeli na vijembe kwa wapinzani!
The guy can talk the talk, but funny enough, can never walk the walk!