Napata taabu sana nikiwaza tutapataje taarifa za kifo cha mwanaJF nikiwemo mimi. Nimewazoea sana.
Napata taabu sana nikiwaza tutapataje taarifa za kifo cha mwanaJF nikiwemo mimi. Nimewazoea sana.
Napata taabu sana nikiwaza tutapataje taarifa za kifo cha mwanaJF nikiwemo mimi. Nimewazoea sana.
Mbona rahisi tu? Wengi tumepata taarifa za vifo vyao.
Wewe ukifa huwezi kupata taarifa yako, utakuwa ni member wa JF zingine kama zipo peponi. Sir God atakupa taarifa.Napata taabu sana nikiwaza tutapataje taarifa za kifo cha mwanaJF nikiwemo mimi. Nimewazoea sana.
Hata mimi!!mimi wala usiumie kichwa......taarifa utazipata bila hiyana......
Hiyo takwimu, vyovyote walivyoipata - naamini itakuwa bali sana na usahihi.wa facebook waliokufa wanafika milioni 33