Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

wazo zuri na mm nimekuwa nikilitafakari, ila ukini pm nitakupa mbinu nilizozi -wasia
 
Die first and you'll get the perfect ans on how we will be informed.Sikuombei mkuu,just a joke but easy to understand the message...
 
kwa mfano mchaga 25 ameua , mwita25 amefariki na muhaasili amekufa kifo cha kustukiza nk
 
Kwanza tumia maneno mazuri ya kiuandishi, “eti waliokufa”?. Kwa hiyo watu wanaotumia hii mitandao hawafi?
 
Back
Top Bottom