Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,656
- 20,991
LIPA ADA YAKO YA UWANACHAMA KUPITIA MITANDAO YA SIMU:
Fahamu namna ya kulipa Ada ya Uanachama wa CCM na jumuiya zake kupitia mitandao ya simu.
Ili kutimiza wajibu wa kikatiba wa kulipa Ada, ewe mwanachama zingatia namna zifuatazo katika vipeperushi(bango) jinsi ya kulipa Ada kupitia mitandao ya simu ifuatayo;
1. M-Pesa
2. Tigo-Pesa
3. Airtel-Money
4. CRDB SimBanking
"Tulipe Ada, Kuwa Mwanachama hai na Tuzidi kuimarisha Chama chetu."
#CCMDigital #VitendoVinaSauti🇹🇿
#TunaendeleaNaMama
Fahamu namna ya kulipa Ada ya Uanachama wa CCM na jumuiya zake kupitia mitandao ya simu.
Ili kutimiza wajibu wa kikatiba wa kulipa Ada, ewe mwanachama zingatia namna zifuatazo katika vipeperushi(bango) jinsi ya kulipa Ada kupitia mitandao ya simu ifuatayo;
1. M-Pesa
2. Tigo-Pesa
3. Airtel-Money
4. CRDB SimBanking
"Tulipe Ada, Kuwa Mwanachama hai na Tuzidi kuimarisha Chama chetu."
#CCMDigital #VitendoVinaSauti🇹🇿
#TunaendeleaNaMama