Wanaccm tukumbuke kulipia kadi zetu za uanachama, tuonyeshe vitendo na mifano kwa vyama vingine!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,656
20,991
LIPA ADA YAKO YA UWANACHAMA KUPITIA MITANDAO YA SIMU:

Fahamu namna ya kulipa Ada ya Uanachama wa CCM na jumuiya zake kupitia mitandao ya simu.

Ili kutimiza wajibu wa kikatiba wa kulipa Ada, ewe mwanachama zingatia namna zifuatazo katika vipeperushi(bango) jinsi ya kulipa Ada kupitia mitandao ya simu ifuatayo;

1. M-Pesa
2. Tigo-Pesa
3. Airtel-Money
4. CRDB SimBanking

"Tulipe Ada, Kuwa Mwanachama hai na Tuzidi kuimarisha Chama chetu."

#CCMDigital #VitendoVinaSauti🇹🇿
#TunaendeleaNaMama
IMG_20240205_185332_303.jpg
 
LIPA ADA YAKO YA UWANACHAMA KUPITIA MITANDAO YA SIMU:

Fahamu namna ya kulipa Ada ya Uanachama wa CCM na jumuiya zake kupitia mitandao ya simu.

Ili kutimiza wajibu wa kikatiba wa kulipa Ada, ewe mwanachama zingatia namna zifuatazo katika vipeperushi(bango) jinsi ya kulipa Ada kupitia mitandao ya simu ifuatayo;

1. M-Pesa
2. Tigo-Pesa
3. Airtel-Money
4. CRDB SimBanking

"Tulipe Ada, Kuwa Mwanachama hai na Tuzidi kuimarisha Chama chetu."

#CCMDigital #VitendoVinaSauti🇹🇿
#TunaendeleaNaMama
Ilipwe ili zikaliwe. Yaaani vitega uchumi mlivyo dhulumu bado haitoshi mnaparura "wanyonge" wenu
 
Back
Top Bottom