🤣🤣🤣 Mtu ana tumbo km kameza kinu we huogopi?vawulensiii uduguu.
Dear uko serious?![]()
KabisaDear uko serious?![]()
ni mfano tu, mbona wapo wengi alaf wabishi kinoma !Ila wewe bana una point ujue.
Kwanini Mbaga?
Huyo ndo anawaentertain sana humu wapuuzi.
Shangazi yangu wa mwadui 😀Dah nani huyu kapewa ofa? Kama hatokuja naomba nije mimi
hakika !Wanaaga wakiwa na hasira, wanarudi zikiwa zimeisha
Ndiomana unashangaa id ya mwaka huu lakini inajua mpk km JF ilikuwa inaitwa Jambo Forum 🤣ni mfano tu, mbona wapo wengi alaf wabishi kinoma !
Jiwe kizani?🙌🏿😩View attachment 3585504
Bbwwaahahaa na badooo🤣
Wanakuwa wamemkasirikia memba au Melo? Yaani ugombane na mtu mmoja ndio ujitoe kwenye mtandao?Wanaaga wakiwa na hasira, wanarudi zikiwa zimeisha
hahahaaa, duh! na me ndo nimejua leo kumbe ilikuaga JamboF..... kwel hawa ndio Gen Z wanajaribu kutongoza hadi AI..................Ndiomana unashangaa id ya mwaka huu lakini inajua mpk km JF ilikuwa inaitwa Jambo Forum
Kumbe ni kuaga na kurudi kivingine km Gen Z Kumbe mpigania uhuru wa Afro Shiraz.
Udugu hana hiyana atakupa mahii.Kabisa
Linampata haswaa sio kwa kujaza thread na mapovu lolz 😂Jiwe kizani?🙌🏿😩
Unapenda vayolensi? Mimi nitahusika na maudhui yangu Ila mitifuano mtajuana na mod wenyu😂Mshana Jr unaanzisha uzi mwinginie sangapi tutoe ya sumu maana kuna vijipu vikiguswa vinalipuka!🤣
Need to put some crazy bitchiz on line lolz, like a dumb mtf asss some mentally chaotic specie, needs exorcism coz peace avoids them lmfaoooooo!🤣
Unalalaje shoriii Binti wa zamani hebu amka uone bibi kuwashwa yameshamkuna kama kawaida🤭
View attachment 3585513
Udugu tuendelee na mambo mengine huyo shangazi wa mwadui niachane naye nishavuka kugombana na vidampa. Sasa hivi naongea na mfuga mbwa sio mbwa.
Haswaaa!! Ndio kilochonileta humu tu😅Unapenda vayolensi? Mimi nitahusika na maudhui yangu Ila mitifuano mtajuana na mod wenyu😂
Maisha tu, mtu anavurugwa mpaka anafika hatua ya kuaga kila mahali😀Wanakuwa wamemkasirikia memba au Melo? Yaani ugombane na mtu mmoja ndio ujitoe kwenye mtandao?