ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,938
- 40,038
Mbaba wawatu kauliza watu wana dissappear na kurudi kwa wema tu mala gafla paa🙌Labda mjomba wao🤣
Mbaba wawatu kauliza watu wana dissappear na kurudi kwa wema tu mala gafla paa🙌Labda mjomba wao🤣
dala dala billz yooo
🤣 Anataka kuongelewa mara na yeye anamtaka CH etiii 😥[emoji23][emoji23][emoji23] ila JF ina heka heka, ko Shengesha ya Depal na Fake P imezalisha Njegeka mpya au niniii?? Mbona mabwakuuu. Lol
Hata MALCOM LUMUMBA aliwahi kutuaga na kututajua multiple id zake zote. Ila bado yupo.Leo nimemuona aliyetuaga last year yupo hapa kimyakimya😀
🤣🤣 Kombe la mbuzi na watu wa bush nimesahau kitambo ila huyu mchimba chumvi wa shinyanga vijijini anaforce kweli nimlete town.[emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km mazuriii, em puuza bhana, we sio wa kushiriki ndondo, level zako ni UEFA
Ila JF jamaniiii, kwanza imekuajeee hadi ifikie hivi? Shengesha ni ya Depal na Fake P, sasa wengine wanaingiaje?[emoji1787] Anataka kuongelewa mara na yeye anamtaka CH etiii [emoji26]
Sasa kuvaa kwenyewe kwa shida afu bonge nyanya wenzie kina D viportable atawaweza kubattle nao? [emoji1787]
Halafu alivyo taahira anashinda pm za watu kusema wagombane na mimi. Hajui anaowapelekea maneno wananiambia kisha wanamchora huku.
We punguani usinilazimishie ugomvi na member humu pigana mwenyewe. Hao watu mimi sina kwere nao wanakuchora nyau wewe.
labda awe mgeni alaf kama ni mtu wa kuzira Jf atalog out for a moment, akilog in bahati mbaya anazama kwa uzi za funny guys anacomment anapokelewa na mtu kama Mbaga Jr "asalamaleko", anatabasam na anazoea tu kama si kuenjoy !Mi najua utani kumbe watu wanakasirika serious
Mbona Boss wake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] Kombe la mbuzi na watu wa bush nimesahau kitambo ila huyu mchimba chumvi wa shinyanga vijijini anaforce kweli nimlete town.
Watu tuko UEFA na boss wake yeye kunguru anatupigia kelele..
aaiseee !Rebeca 83 kama huyu aliaga kabisa na ban akala nashangaa anafanya nini humu
Vayolensi loading!?Tutafute pesa tuone vitu km passport na kupanda flight ni jambo la kawaida. Karne hii kupata bipolar disorder kisa ndege nao ni ujuha aiseee..!! Kuanza kuhisi watu wana maisha kama yako kisa wewe unashindwa kuafford top hata ya 15k mpya nayo ni huzuni.
Nwei, pole sana kwa kukupa msongo wa mawazo nimekuonea huruma. Nakupa offer Njoo kkoo uchukue top za 500k (Hii sio utani)
Nimeona malalamiko yako umepeleka kwa mods unalalamika nakusema una nguo kuukuu. 😥ðŸ˜ðŸ˜
Hata lepe la usingizi umekosa umelala na kuamkia JF ðŸ˜ðŸ˜
Na hao sisi ndo tunawataka yeye mchimba chumvi atupe nafasi kwanza hewa nzito. Jitu kubwa km Goliath linatupunja oksijeni.Ila JF jamaniiii, kwanza imekuajeee hadi ifikie hivi? Shengesha ni ya Depal na Fake P, sasa wengine wanaingiaje?
Em uduguu acha kujibishana na mtu yoyote, tusubiri Depal na Fake P Watakapojisikia kubaruzana tushuhudie mtanange. Baas.
Ushavuka huko weyeee!!
Dah nani huyu kapewa ofa? Kama hatokuja naomba nije mimiTutafute pesa tuone vitu km passport na kupanda flight ni jambo la kawaida. Karne hii kupata bipolar disorder kisa ndege nao ni ujuha aiseee..!! Kuanza kuhisi watu wana maisha kama yako kisa wewe unashindwa kuafford top hata ya 15k mpya nayo ni huzuni.
Nwei, pole sana kwa kukupa msongo wa mawazo nimekuonea huruma. Nakupa offer Njoo kkoo uchukue top za 500k (Hii sio utani)
Nimeona malalamiko yako umepeleka kwa mods unalalamika nakusema una nguo kuukuu. 😥ðŸ˜ðŸ˜
Hata lepe la usingizi umekosa umelala na kuamkia JF ðŸ˜ðŸ˜
Hahahaaaaa !Na hao sisi ndo tunawataka yeye mchimba chumvi atupe nafasi kwanza hewa nzito. Jitu kubwa km Goliath linatupunja oksijeni.
[emoji23][emoji23][emoji23] vawulensiii uduguu.Na hao sisi ndo tunawataka yeye mchimba chumvi atupe nafasi kwanza hewa nzito. Jitu kubwa km Goliath linatupunja oksijeni.
Ila wewe bana una point ujue.labda awe mgeni alaf kama ni mtu wa kuzira Jf atalog out for a moment, akilog in bahati mbaya anazama kwa uzi za funny guys anacomment anapokelewa na mtu kama Mbaga Jr "asalamaleko", anatabasam na anazoea tu kama si kuenjoy !
Dear uko serious? [emoji23][emoji23][emoji23]Dah nani huyu kapewa ofa? Kama hatokuja naomba nije mimi
Likidondoka winch tutatoa wapi ya kumnyanyua? Au likitudondokea si tutakufa jamani? 🤣Hahahaaaaa !