Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 372,904
- 863,946
- Thread starter
- #141
JF ni kama kile kitobo cha asali... Tofauti tu ni kwamba JF haina sura mbaya🤣Hata MALCOM LUMUMBA aliwahi kutuaga na kututajua multiple id zake zote. Ila bado yupo.