Wanaaga halafu hawaondoki

Wanaaga halafu hawaondoki

Ungeweka wale maafande wa mwenge wanaobebeshwa pistol za semi automatic na revolver alafu wanawekewa nembo mgongoni eti SWAT ila bongo nyoso kweli kweli .

Muhifadhi mkuu wa silaha makao ,Mungu anamuona aisee
Mkuu sitaki nizikwe bila kichwa😀🙌🏿🏃🏿
 
Wewe sio rahisi kaka hata kiunoni ipo .

287a4620-4ddb-4f83-a3b6-7f43a4a1f32d.jpeg
kote ikishindikana akina cover tupo kukulinda mkuu 😀
 
Usiteseke, wanatupa hasira za kutafuta pesa 😁

"Naweza kukulisha wewe, vifaranga vyako na ukoo wako mzima, mwaka mzima"

Au unaanzisha uzi

"Nimepata milioni 70 ila sijui biashara gani ya kuwekeza"

Hizi zote ni faida kwa wengi 😁
38af71a6-d6ef-4466-a25e-9fa94b3b47e8.jpeg
38af71a6-d6ef-4466-a25e-9fa94b3b47e8.jpeg
 
Usiteseke, wanatupa hasira za kutafuta pesa 😁

"Naweza kukulisha wewe, vifaranga vyako na ukoo wako mzima, mwaka mzima"

Au unaanzisha uzi

"Nimepata milioni 70 ila sijui biashara gani ya kuwekeza"

Hizi zote ni faida kwa wengi 😁
Mara nina meza ya madera kkoo ni mateso haki😓
 
Back
Top Bottom