Wana Yanga SC kwa huu Utani wenu mbele ya Kocha wa muda wa Simba SC Mgunda mmeniacha Hoi mno

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,023
109,956
Yanga SC (Mashabiki) wanasema kuwa Kocha Juma Mgunda hana hata Wiki Simba SC tayari Nazi zimepanda Bei nchini!

mgunda.jpg

====

Pia soma:
Juma Mgunda ameridhika kuwasaidia kufundisha Simba SC na kusahau kuwa ana 'profile' kubwa katika Ligi ya Tanzania
 
Server inajazwa na nyuzi mpya tu?vipi michango yeti haijazi hiyo server?
Yaani kabisa Swali lako hili la Akili kabisa Mkuu unategemea Masikini wa Akili unayemuuliza ndiyo akupe Jibu? Pole sana.
 
Back
Top Bottom