pole sana mkuu, anza kidogo kidogo kwa kupunguza kisha kuacha kabisa kutumia drugs, maana ni aibu kwako, kwa mke, watoto, familia na hata kazi. ukishaweza hilo njoo kwenye pombe, kidogo kidogo utafika, tena kama hunywi kupindukia had kuwa chakari ndio inakua kazi rahisi zaidi. Kila la heri mkuu
wape wape mzee Replies wanataka kukuchokonoa hao wape vpande vyao......
Ngoja na mm nikajidunge serenget zangu tatu halafu nikusaidie kuwasha moto
Frankly speaking !!! Just to put it correct
Ok mi siyo mlevi ni mnywaji that makes it all different
You don't have to like me either hut aongeza au Kupunguza nlichonacho na nsichokuwa nacho
Handle your business lady
drink responsibly... I like that:A S crown-1:Tell them man, watu ni wanywaji siyo walevi. Mlevi hajitambui that is the difference btn the two. Mimi hapa niko na Castle Lager ya tano niko fresh then mtu aniambie mlevi!!! Piga vitu mkuu (but drink responsibly).
Sina hasira ila I can't help it Mtu akiniita mlevi at awe NANI,it's simply doesn't go with my persona
Hahaha aiseeWanaume wanaokunywa pombe wananuka jamaniii sio siriii yaan inapendeza muwe mnatumia wote ili mnukiane vizurii
Daah watakuwepo wengine tunaongeza speed ya kupiga vyombo tu.Tuko wanaotaka kuacha ya makitu au kupumzika?
Hii nimeipendahyo sio kweli.
Uvivu na bajeti mbovu pamoja na kuwa na mipango isiyotimia ndio adui wa maendeleo..
Sidhan kama ukawa na ratba yako maalum namna ya kufanya mambo yako na ikifika jion walau hata kwa wiki mara mbili ukajipongeza na kapombe kako ukaamua kuteketeza hata elf 20 sijui ubaya wa pombe utatoka wapi!..
Adui wa maendeleo ni kuendekeza wanawake, kila ukiona mwanamke unataka umfunue babu hapo lazma pesa ikutoke.
Mm pombe kila j2 jion lazma nigonge hapo ndio kaz itaenda
Haha ww jamaaaKaribu mkuu,nataka watu wajue it's not about tunakunywa nini it's about tunaingiza kiasi gani ili tunywe kiasi gani
Wanaume wanaokunywa pombe wananuka jamaniii sio siriii yaan inapendeza muwe mnatumia wote ili mnukiane vizurii

Kwa Hiyo Nanuka