Wana MMU, Nahitaji Ufafanuzi Hapa.

zamani mambo ya kukutana kimwili baada ya kuoana yalikuwa kawaida, siku hiz, mtu anapagawa mpaka anakuja kutangaza, kisa eti kakataliwa tendo kabla ya ndoa!
 
...au kama unahisi anakuficha kutu unaogopa ukakuta "balun" basi mwambie tu akufunulie papuchi yake UIONE IKOJE, IMEKAAJE, ili ujirihishe lakini bila KU-DO.....
 
...au kama unahisi anakuficha kitu unaogopa ukakuta "balun" kama ulivyodai, basi mwambie tu akufunulie papuchi yake UIONE IKOJE, IMEKAAJE, ili ujirihishe lakini bila KU-DO.....
 
zamani mambo ya kukutana kimwili baada ya kuoana yalikuwa kawaida, siku hiz, mtu anapagawa mpaka anakuja kutangaza, kisa eti kakataliwa tendo kabla ya ndoa!

Hiki ni kizazi kipya.
Tumetoka analogia tukaja Digital kila kitu lazima kiwe wazi
 
^^
Una haki ya kuwa na wasi wasi maana matarajio ya vijana wengi ni kumjua mwenza kabla ya ndoa
..
LAKINI PIA RUDISHA MOYO
Kama una uhakika na historia ya maisha yake basi uwe na imani kuwa ni mwanamke anaejistahi na kujiheshimu. Na zaidi utamu wa unachotarajia ndio silaha yake ya kukutunza dhidi ya wenzake.
^^



like,like like
ila bila shake before use imekuwa changamoto lol.!
 
Himidini ni mimi naleta ugumu kuelewa ama? Kwani "kudate" kunafika hadi huko??

^^
Mapi na Daud omar
Dating ninavyojua mimi ni kipindi cha kufahamiana baina ya watu wawili wa jinsia mbili tofauti kwa nia ya kufikia uchumba na ndoa,
Dating hujumuisha kutembelea mahali, kuongea tu n.k
Dating inatofautiana nchi na nchi au tamaduni na tamaduni. Kwetu afrika bado dating ni mtindo wa maisha unaotaka kuji-fix na ile hali ya kidijitali (sitaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia)
Japo kuna faida zake ila madhara ya kumjua mwenza kabla ya ndoa yamewaweka pabaya hasa wadada kwa mimba,kutoa penzi kwa kudhani watapata ndoa,na mf. Rahsi ni thread za siku hizi 'haniridhishi nimwacheje', 'hajui kukatika' n.k
NDIVYO NIJUAVYO MKUU
^^
 
Last edited by a moderator:
Hadi umeamua kutuletea thread hapa inamaana kuna kitu unamashaka nacho. Ukioa ukakuta ni "balloon" sijui utamlilia nani na wewe umeshaoa labda kama wewe ni "Kipedo" wanaooana asubuhi na kuachana jioni.

Tikisa kabla ya kunywa.
 
Inawezekana huyo mchumba wako anahisi akikupa mambo utamkimbia. Na wewe pia inaonekana huna nia nae, ina maana ukitaka kuoa mpaka u sex ndio uoe? Pia ina wezekana asiwe na bikra ila akawa kajifunza kwa yule aliyemtoa alimpa penzi akamkimbia. Sasa wewe unatakiwa kumchumguza tabia na mienendo yake pamoja na tamaa na pia usafi. Hayo ndio ya msingi.

Hii ndio maana ya kudate?
 
Kutest ni muhimu sana tena ni lazima enzi za kusubir hadi ndoa zilipitwa na wakati na kama tulivoikubali dhambi ya kuzini kabla ya ndoa kwaio fanya mpango ufunue chungu bana hizo mambo za kusubir nani anataka siku hizi???

La sivyo utakuja hapa na mrejesho wa kisa kilichokitokea baada ya harusi yatakutokea makubwa na fungate uione chungu ohooo kamata fursa twenzetu
 
Kutest ni muhimu sana tena ni lazima enzi za kusubir hadi ndoa zilipitwa na wakati na kama tulivoikubali dhambi ya kuzini kabla ya ndoa kwaio fanya mpango ufunue chungu bana hizo mambo za kusubir nani anataka siku hizi???

La sivyo utakuja hapa na mrejesho wa kisa kilichokitokea baada ya harusi yatakutokea makubwa na fungate uione chungu ohooo kamata fursa twenzetu

:shocked::shocked::shocked: MankaM nantombe!???
 
Last edited by a moderator:
Hadi umeamua kutuletea thread hapa inamaana kuna kitu unamashaka nacho. Ukioa ukakuta ni "balloon" sijui utamlilia nani na wewe umeshaoa labda kama wewe ni "Kipedo" wanaooana asubuhi na kuachana jioni.

Tikisa kabla ya kunywa.

Nimekusikia Mkuu.
 
we nawe Mentor ni nini hio???

Nimemsalimia tu!

Ila kaka sasa, sababu kubwa aliyokupa ni nini? Kimaadili zaidi au?

Is she sealed (hata ya maneno tu)?

Kama mnaoana next year..vipi hivyo vigezo vingine? Does she qualify?
Mwali njoo umuulize sex ni muhimu kwake kwa kiasi gani...
 
Last edited by a moderator:
mkuu Himidini nimekupata vilivyo.. Kumbe ndio maana mleta mada anasema kanyimwa dating?? Nkadhani labda bado wanamapenz ya intanet! Kumbe kufikicha ndude ndio kanyimwa!
 
Last edited by a moderator:
mbona hufiki Karucee nishaandaa ubaoo (silent "a" ) na chaki
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom