Wana MMU, Nahitaji Ufafanuzi Hapa.

Wana mmu,
Ningependa kushare na nyinyi ishu hii ambayo kwa kiasi , Inaniumuza Kimawazo nina Girlfriend ambaye tumekubaliana Kuoana Mwanzoni mwa 2014, Sasa kitu kimoja ambacho hataki, Hataki kudate hata siku moja akidai mpaka tuoane, Hii inanipa wasiwasi sana, Nikijiuliza labda ana tatizo au, Na je nikisubiri mpaka huo muda ni nini atakua ananificha?
Kwenu Wadau@Himidini @Lara one Heaven Earth miss chagga

kwa mtazamo wangu ni vizuri kusubiliana mpaka muoane kiroho iko salama kama kweli huyo girlfriend lakini inategemea na msimamo wake wa kiroho je yuko vipi?
 
Hapo kuna mengi..labda kweli ni bikra na anakutunzia hiyo heshima au anaogopa (hajiamini) kukupa kuhofia utamkimbia au pia hakuna kitu ila anasubiri mfanye mkiwa ndani ya ndoa
 
Hapo kuna mengi..labda kweli ni bikra na anakutunzia hiyo heshima au anaogopa (hajiamini) kukupa kuhofia utamkimbia au pia hakuna kitu ila anasubiri mfanye mkiwa ndani ya ndoa

Najiamini mkuu.
 
Wewe mwenyewe unasita kutupa ufafanuzi unaoeleweka...

The problem could be wit u.
 
Huyo bana kuna kitu anaficha, Pengine hata sehemu zake za siri haziko sawa (kubwa/mbaya). Kifupi hapo unauziwa Mbuzi kwenye gunia.
 
Huyo bana kuna kitu anaficha, Pengine hata sehemu zake za siri haziko sawa (kubwa/mbaya). Kifupi hapo unauziwa Mbuzi kwenye gunia.

Kwa Maana hio, Ni lazima niangalie nini kiko ndio, ili tuweze Kuoana.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom