Nimemsalimia tu!
Ila kaka sasa, sababu kubwa aliyokupa ni nini? Kimaadili zaidi au?
Is she sealed (hata ya maneno tu)?
Kama mnaoana next year..vipi hivyo vigezo vingine? Does she qualify?
Mwali njoo umuulize sex ni muhimu kwake kwa kiasi gani...
Kwani mwelekeo wake au vitendo vyake vinakupa wasiwasi au haeleweki ?
Au mda gani ukonae ?
Kudate ndio kufanyaje?
Kwa Mujibu wa huyo Binti, Hapendi hilo litokee tukiwa bado wachumba, Kuhusu vigezo ana sifa zote za kuwa Mwanamke Bora.
Kudate ndio kufanyaje?
Kwa maneno Mengine ni kukutana kimwili.
aiseee.wana mmu,
ningependa kushare na nyinyi ishu hii ambayo kwa kiasi , inaniumuza kimawazo nina girlfriend ambaye tumekubaliana kuoana mwanzoni mwa 2014, sasa kitu kimoja ambacho hataki, hataki kudate hata siku moja akidai mpaka tuoane, hii inanipa wasiwasi sana, nikijiuliza labda ana tatizo au, na je nikisubiri mpaka huo muda ni nini atakua ananificha?
Kwenu wadau@himidini lara one heaven earth miss chagga
Jifunze kusubiri. nani kakwambia kabla ya ndoa lazima kuvua boxer?
Wana mmu,
Ningependa kushare na nyinyi ishu hii ambayo kwa kiasi , Inaniumuza
Kimawazo nina Girlfriend ambaye tumekubaliana Kuoana Mwanzoni mwa 2014,
Sasa kitu kimoja ambacho hataki, Hataki kudate hata siku moja akidai
mpaka tuoane, Hii inanipa wasiwasi sana, Nikijiuliza labda ana tatizo
au, Na je nikisubiri mpaka huo muda ni nini atakua ananificha?
Kwenu Wadau@Himidini lara one Heaven Earth
miss chagga