Ph-25
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 1,159
- 537
Ni muda sana tangu vita vya nani ninani vianze humu ndani...
Binafsi nimetoa nyuzi nyingi sana zinazo wahusu wanawake,usafi wao,uchafu na udhaifu... Najuta kutumia lugha kali sana humu jukwaani....
Katika watu ambao nilipishana nao lugha ni wengi sana mfano mimi49 miss strong Heaven on earth Passion Lady amu Zahra White Nivea lara 1 nawengne wengi...
Nahisi ni muda sasa wa kubehave like gentleman... Sipendi kua na visasi,chuki na kinyongo na mtu humu ndani... Nimeamua kufuata busara za data watu8 The Boss na eli79 ...
Wana bodi nawaomba na nyie kama unaisi ulimkwaza mtu kwanamna moja au nyingne kupitia uzi huu mtake radhi kwa kutaja id yake pliz..
Long live Mmu.. Mungu awenanyi katika kila jema na kweli..
Nb: mods nawaomba musiuondoe uzi huu...kwani ni muda wa kuwekana sawa na kutuliza upepo huu wa kisuri suri unao tawala humu jukwaani.
Binafsi nimetoa nyuzi nyingi sana zinazo wahusu wanawake,usafi wao,uchafu na udhaifu... Najuta kutumia lugha kali sana humu jukwaani....
Katika watu ambao nilipishana nao lugha ni wengi sana mfano mimi49 miss strong Heaven on earth Passion Lady amu Zahra White Nivea lara 1 nawengne wengi...
Nahisi ni muda sasa wa kubehave like gentleman... Sipendi kua na visasi,chuki na kinyongo na mtu humu ndani... Nimeamua kufuata busara za data watu8 The Boss na eli79 ...
Wana bodi nawaomba na nyie kama unaisi ulimkwaza mtu kwanamna moja au nyingne kupitia uzi huu mtake radhi kwa kutaja id yake pliz..
Long live Mmu.. Mungu awenanyi katika kila jema na kweli..
Nb: mods nawaomba musiuondoe uzi huu...kwani ni muda wa kuwekana sawa na kutuliza upepo huu wa kisuri suri unao tawala humu jukwaani.
Last edited by a moderator: