Wana Kigoma embu jengeni kwenu

Wana Kigoma embu jengeni kwenu

Amna sehem Tanzania isio na uchawi nimeishi mikoa mingi ila hali ya uchawi ni ile ile. But jampo muamko wa wanakigoma ni mdogo ila serekali imechangia san kudidimiza kimaendeleo mkoa wa kigoma. Leo hii karne ya 21 mkoa wote ni vumbi tupu amna ata barabara ya uwakika wala umeme unategemea nan ataamka kweny giza ilo. Mikoa mingne kila siku wanawekewa barabara mpya yaaan. Ata dodom ya 2010 ilikua kam pori ila saiz wameweka barabar nying ya kondoa na iringa pamependza sana. Yaaan bila mchango wa serekali amna kitu kipya kitonekana kwa kigoma. Mkoa mzma amna ata kiwanda kimoja sababu ni umeme na ata ukizalisha utasafirishaje wakakat amana barabara za uwakika. Ila nawapengeza san maan amna njaaa
 
Kuhusu shule moshi ni wenyeji walihamasishana wakajenga. Kigoma walimu wanajikuta wamelazwa nje sasa unategemea nn? Ukihamasisha watu wanaplan kukuloga tu.
Ndugu uchawai ni dhana ya uongo ambayo haipo kuendelezea kuzungumzia uchawi ni udhaifu wa fikra
 
Mkuu mimi pia ni mzaliwa wa kanda hiyo. Our challenges are almost similar. Lets take it as a challenge. Nimeishi Kibondo, Kasulu, Ujiji nk. Kigoma bado iko nyuma hilo halipingiki. Tena nyuma sana! You can only understand kama umeshaliishi lile vumbi la Kibondo! Kikubwa tuzichukulie hizi kama Changamoto za mda. Sometimes nakuwa disappointed kwa sababu katika mikoa yetu ya kanda ya ziwa ni wahaya ambao waliweka utaratibu wa kujenga makwao toka zamani. Leo ukienda Kigoma kuna watu nawafahamu ni engineers, lawyers nk..tunakunywa nao bia mjini Lakini ukienda makwao huko ni fedheha! Siyo Kigoma tuu..njoo Ngara, bihalamlo, Chato nk. Wote tuna Changamoto zile zile. Bado ambao wamesonga mbele hawarudi nyuma kuwakwamua wa kwao!

Kipi kifanyike? Kwanza wananchi wa haya maeneo tuamke. Tutambue kwamba kuendeleza haya maeneo ni jukumu letu. Pili, Serikali iendeleze juhudi za miundombinu. Kama ile barabara ya Nyakanazi kwenda Kigoma ikikamilika nina hakika kabisa itabadilisha Kigoma. Na ile barabara ya Tabora-Kigoma ikiwekwa lami tutaongea mengine.

Ingawa miundombinu ni hafifu Lakini bado hata wana-Kigoma wenyewe hawajakamata fursa zilizopo kisawasawa. Mfano last time nilitoka Kabanga-Ngara nikaenda Bujumbura nikatokea Kigoma. Ule ukanda una fursa nyingi sana. Lakini ndo hivyo bado tunalia njaa na umasikini.

In all, lazima tukubali kwamba baadhi ya maeneo yetu yako nyuma na ni jukumu letu sisi wananchi kupambana na kuhakikisha tunajikwamua. Maana na hiyo serikali yenyewe tunayoitegemea inaongozwa na watu ambao nao wana vipaumbele na njaa zao.

Lakini as a matter of fact, kama mtu ambaye nimeishi na kufanya kazi Kigoma, Kiukweli wana-Kigoma can and should do better! Tunaweza kuweka visingizio maelfu mwisho wa siku ukweli unabaki pale pale. Tunahitaji kuamka.

Hata Kahama, Katoro, Lunzewe nk..miji inayochipukia....ni juhudi za watu. Juzi kati vilikuwa ni vijiji...leo tunaongea mengine.
Bro unajua garama ya kusafirisha gunia moja la mahindi kutoka kigoma kwenda dsm?

Waha wasitupiwe lawama,waha ni wachapakazi namba moja nchi hii,wakifuatiwa na wakinga na wasukuma,

Kwa mfano sasa hivi kuna waha wengi sana wanalima tangawizi na mahindi songea,je ni kwanini walime songea wakati kigoma ardhi ipo?jibu ni ukilima kigoma hayo mazao utasafirisha na nini na kwa garama kiasi gani kwenda sokoni?



Asilimia 90 ya maendeleo ya mkoa wa kigoma ni selfmade hakuna nguvu ya serkali bali wananchi wenyewe.
 
Mkuu mimi pia ni mzaliwa wa kanda hiyo. Our challenges are almost similar. Lets take it as a challenge. Nimeishi Kibondo, Kasulu, Ujiji nk. Kigoma bado iko nyuma hilo halipingiki. Tena nyuma sana! You can only understand kama umeshaliishi lile vumbi la Kibondo! Kikubwa tuzichukulie hizi kama Changamoto za mda. Sometimes nakuwa disappointed kwa sababu katika mikoa yetu ya kanda ya ziwa ni wahaya ambao waliweka utaratibu wa kujenga makwao toka zamani. Leo ukienda Kigoma kuna watu nawafahamu ni engineers, lawyers nk..tunakunywa nao bia mjini Lakini ukienda makwao huko ni fedheha! Siyo Kigoma tuu..njoo Ngara, bihalamlo, Chato nk. Wote tuna Changamoto zile zile. Bado ambao wamesonga mbele hawarudi nyuma kuwakwamua wa kwao!

Kipi kifanyike? Kwanza wananchi wa haya maeneo tuamke. Tutambue kwamba kuendeleza haya maeneo ni jukumu letu. Pili, Serikali iendeleze juhudi za miundombinu. Kama ile barabara ya Nyakanazi kwenda Kigoma ikikamilika nina hakika kabisa itabadilisha Kigoma. Na ile barabara ya Tabora-Kigoma ikiwekwa lami tutaongea mengine.

Ingawa miundombinu ni hafifu Lakini bado hata wana-Kigoma wenyewe hawajakamata fursa zilizopo kisawasawa. Mfano last time nilitoka Kabanga-Ngara nikaenda Bujumbura nikatokea Kigoma. Ule ukanda una fursa nyingi sana. Lakini ndo hivyo bado tunalia njaa na umasikini.

In all, lazima tukubali kwamba baadhi ya maeneo yetu yako nyuma na ni jukumu letu sisi wananchi kupambana na kuhakikisha tunajikwamua. Maana na hiyo serikali yenyewe tunayoitegemea inaongozwa na watu ambao nao wana vipaumbele na njaa zao.

Lakini as a matter of fact, kama mtu ambaye nimeishi na kufanya kazi Kigoma, Kiukweli wana-Kigoma can and should do better! Tunaweza kuweka visingizio maelfu mwisho wa siku ukweli unabaki pale pale. Tunahitaji kuamka.

Hata Kahama, Katoro, Lunzewe nk..miji inayochipukia....ni juhudi za watu. Juzi kati vilikuwa ni vijiji...leo tunaongea mengine.
Umeongea vizuri sana. Na hilo ndio lengo yani wananchi wenyewe waanze kujenga kwao then maendeleo yatakuja automatically
 
Nmeishi kigoma napajua sana sana sanaaaa na nawajua waha vizuri ila kabla ya kuongelea lolote tujiulize kwann kuna ziwa Tanganyika lakini mitaani maji hakuna
 
Mkuu mimi pia ni mzaliwa wa kanda hiyo. Our challenges are almost similar. Lets take it as a challenge. Nimeishi Kibondo, Kasulu, Ujiji nk. Kigoma bado iko nyuma hilo halipingiki. Tena nyuma sana! You can only understand kama umeshaliishi lile vumbi la Kibondo! Kikubwa tuzichukulie hizi kama Changamoto za mda. Sometimes nakuwa disappointed kwa sababu katika mikoa yetu ya kanda ya ziwa ni wahaya ambao waliweka utaratibu wa kujenga makwao toka zamani. Leo ukienda Kigoma kuna watu nawafahamu ni engineers, lawyers nk..tunakunywa nao bia mjini Lakini ukienda makwao huko ni fedheha! Siyo Kigoma tuu..njoo Ngara, bihalamlo, Chato nk. Wote tuna Changamoto zile zile. Bado ambao wamesonga mbele hawarudi nyuma kuwakwamua wa kwao!

Kipi kifanyike? Kwanza wananchi wa haya maeneo tuamke. Tutambue kwamba kuendeleza haya maeneo ni jukumu letu. Pili, Serikali iendeleze juhudi za miundombinu. Kama ile barabara ya Nyakanazi kwenda Kigoma ikikamilika nina hakika kabisa itabadilisha Kigoma. Na ile barabara ya Tabora-Kigoma ikiwekwa lami tutaongea mengine.

Ingawa miundombinu ni hafifu Lakini bado hata wana-Kigoma wenyewe hawajakamata fursa zilizopo kisawasawa. Mfano last time nilitoka Kabanga-Ngara nikaenda Bujumbura nikatokea Kigoma. Ule ukanda una fursa nyingi sana. Lakini ndo hivyo bado tunalia njaa na umasikini.

In all, lazima tukubali kwamba baadhi ya maeneo yetu yako nyuma na ni jukumu letu sisi wananchi kupambana na kuhakikisha tunajikwamua. Maana na hiyo serikali yenyewe tunayoitegemea inaongozwa na watu ambao nao wana vipaumbele na njaa zao.

Lakini as a matter of fact, kama mtu ambaye nimeishi na kufanya kazi Kigoma, Kiukweli wana-Kigoma can and should do better! Tunaweza kuweka visingizio maelfu mwisho wa siku ukweli unabaki pale pale. Tunahitaji kuamka.

Hata Kahama, Katoro, Lunzewe nk..miji inayochipukia....ni juhudi za watu. Juzi kati vilikuwa ni vijiji...leo tunaongea mengine.
mkuu asante umeeleza in deep
maendeleo huletwa na watu wa maeneo husika kujituma na sii vinginevyo
 
Bro unajua garama ya kusafirisha gunia moja la mahindi kutoka kigoma kwenda dsm?

Waha wasitupiwe lawama,waha ni wachapakazi namba moja nchi hii,wakifuatiwa na wakinga na wasukuma,

Kwa mfano sasa hivi kuna waha wengi sana wanalima tangawizi na mahindi songea,je ni kwanini walime songea wakati kigoma ardhi ipo?jibu ni ukilima kigoma hayo mazao utasafirisha na nini na kwa garama kiasi gani kwenda sokoni?



Asilimia 90 ya maendeleo ya mkoa wa kigoma ni selfmade hakuna nguvu ya serkali bali wananchi wenyewe.
kuna vitu vya kulaumu serikali na vingine sio
mfano kigoma imechakaa kimakaz vijumba vingi vya zaman na za nyasi nyingi,je hapo unataka serikali ije iwajengee?
 
  • Thanks
Reactions: 365
By the way kigoma tunaipenda ikiwa vile ilivyo! somewhere to chill!siyo kila mahali tuwe na maflyover,magorofa blablah nyiiiiingi,tukienda home we eat fresh fish, veggies,kuku asili,ntole hadi raha kumoyo. Acha wengine wajenge sisi watuache hivvihivi na mawese yetu.
kwahiyo mmeridhika na vijumba vyenu vya nyasi?
 
Kuhusiana na uchawi kigoma hii ni ajabu kweli ndo maana wanaume wa dar mnatukanwa, maana ukimtoa dar ukampeleka mbeya utasikia siwez wekeza mbeya sabab wasafwa hawapendi mgeni aendelee akienda mwanza,tabora,dodoma utasikia kesi kama hizo.mbona mchina unamkuta mpaka huko murufyiti anakula lowe?
kgm nyumba za nyasi n nyingi kuliko bati sasa utawekeza kitu gan?
 
Back
Top Bottom