Wana Kigoma embu jengeni kwenu

Wana Kigoma embu jengeni kwenu

Mbona zitto kajenga na anadunda mpaka leo
kwahiyo zito peke yake ndiye mwenye uwezo wakuijenga KIGOMA yote ..aiseee nawew waitwa msomi
post inazungumzia majority ya watu wewe wazungumzia mtu mmoja ..ukiona jambo lenye faida kama hilo LA makazi linafnya na watu wachache basi yatakiwa utambue kuwa mahala husika patakuwa na mushkeri ..either wakielimu .kiuchumi ama ulozi tu..so kuna vijana wengi kutoka KIGOMA wamepakimbia kwao kwaajili yakukwepa hiyo nadharia uliyo kufnya unijibu na Nina wajua fika
 
Kwakweli watu wa kigoma tuna mitazamo hasi sana...
Ukimwaga mchanga na tofali unarogwa, ukipata mazao mengi unarogwa, ukisoma unarogwa...

Uchawi,roho mbaya na wivu ndio vinatudumaza.
 
mtwara haina tofauti na hii mikoa miwili,mtwara kuna wilaya inaitwa newala
ni mwisho hapo...maendeleo is equal to zero
Hujawahi kuishi Newala umekaririshwa.mi nimekaa mikoa mingi sana tena mazingira ya vijijin ..huko kuna viwilaya vinafanana na kuzidiwa na kata au tarafa za wilaya ya Newala.. usikariri.acha Hadith za afu ulela ulela.
 
Hujawahi kuishi Newala umekaririshwa.mi nimekaa mikoa mingi sana tena mazingira ya vijijin ..huko kuna viwilaya vinafanana na kuzidiwa na kata au tarafa za wilaya ya Newala.. usikariri.acha Hadith za afu ulela ulela.
Kuna kitu nmegundua, thread za mikoa humu jf haziendi sawa bila kuhusisha wahaya?soo saad...najua mnajua wazi juu ya gap walowazidi na kujisifia so mnatk kuwashusha psychologically
Shame...
 
sio kila kitu n kuilaumu serikali
asili ya mkoa huo n uchawi wa kijinga
kule ukifanya maendeleo unalogwa je serikali inahusikaje?acheni uzwazwa
Ivi nyie watu mmefika Kigoma kweli! Kama ndio kigoma maeneo yapi? Mnavyoviandika havina ukweli wowote haya ni mawazo ya kifashisti, mleta mada tuambie mkoa unaotoka kwanza alafu tuanzie hapo uzuri tumezunguka karibu nchi nzima hakuna sehemu unayiweza kutudanganya, huko unapopasifua labda utakuwa unasifia kwa sababu ya road network lakini kwa structure sijui kama utakuwa sahihi kuhusu ushirikina kila sehemu upo mawazo kama haya ni ya ajabu kuwahi kutokea kwenye fikra za watu wanaojitambua lakini nisiongee sana huu uzi nahisi utakuwa umeanzisha na mtu wa kidato cha kwanza au four felia
 
Mleta mada lazima uwekwe kwenye chupa. Ndo utaacha umbeya wa kusema sema mikoa ya watu.
 
Ukifika Kigoma ni mji uliokauka sana kimaendeleo japo imepakana na nchi zaidi ya mbili. Mbaya zaidi harufu ya kule ni harufu ya kichawichawi. Wenyeji wa huko wamelogezewa ubishi wa kijingajinga tu.

Jamani wanakigoma jengini kwenu, embu igeni mfano wa watu wa Kaskazini kama wa Kilimanjaro, Arusha na atlist Tanga.

Yani hadi wapemba na waunguja wamewazidi kimaendeleo na huku wako visiwani. Acheni hizo bana jengeni kwenu.

Futeni hiyo sifa ya kijinga mnayojisifia ya uchawi. Mkiendekeza mtaendelea kuwa masikini hadi sana.
Hivi watu mliofika Kigoma na mtwara , wapi penye afdhali?
 
kumbe ndio maana mtabaki maskini
hao wanaoenda kutafuta fursa sehem nyengine manake hawaridhiki na hela wana kiu ya kutafuta hela
ndio maana tz nzima utawakuta wamewekeza,kwanza kule kwao wanahakikisha wamewekeza kwanza
ngoja niluulize je unapoona wazungu huku tz n kwamba tz n tajir kuliko hizo nchi za wazungu?
mmebweteka ndio maana mtaishia kuwa maskini hivyohivyo
Umaskini upi unaouongelea mkuu, kwa maisha ya mtu mmoja mmoja waha wapo vzr labda hujui hilo kila angle utawakuta, we unaongelea umaskini kigoma watu wapo Kasulu wana export bidhaa kutoka ughaibuni, nenda kaangalie bei za bidhaa kule kama ni tofauti na DSM uje uniambie
 
kuna maendeleo ya kuletwa na serikali lakin kuna mengine n ya watu wenyewe mfano
kigoma vijumba vingi n nyasi je serkl ije iwajengee za bati?

Una uhakika mkuu, mbona unahoja zisizokuwa na mashiko! Kwa maneno haya uliyoandika, imeonesha kabisa hujaitembelea kigoma, hao wachaga tu unaoeasifia fuatilia vzr wamekuha kigoma hawataki kutoka, kuna fulsa kule na pesa ipo
 
lkn kigoma ni janga..m mwenyewe nimepata vijisenti vyangu natamani nirudi home nikanunue kiwanja lkn naogopa maana nahis ntakuwa nimejikatia tiketi ya kifo...japo mamb hayo yamepungua lkn kigoma kuna ushirikina sana
Acha ujinga wewe nenda kajionee mji ulivyo sasa iv watu wananunua viwanja hadi mil.200 alafu unadai umepata pesa unaogopa kununuakiwanja kigoma! Utakuwa limbukeni wewe,
 
kagera wanaishi maisha ya kizamani sana..hakuna mgeni anaweza kwenda akafungua hata biashara ya maana...utabaki na duka lako nobody bother to come n buy anything!wazawa tu ndio wanaweza
Hatuna ubaguzi huo
 
Back
Top Bottom