zyogo
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 377
- 282
ailtikaacha ujinga we muha wote walioko huko waliojenga wamerogwa mara ngapi?
ailtikaacha ujinga we muha wote walioko huko waliojenga wamerogwa mara ngapi?
Pole sana mkuu...lkn kigoma ni janga..m mwenyewe nimepata vijisenti vyangu natamani nirudi home nikanunue kiwanja lkn naogopa maana nahis ntakuwa nimejikatia tiketi ya kifo...japo mamb hayo yamepungua lkn kigoma kuna ushirikina sana
mkuu hupajui vizuri kigoma....anyway acha niendelee a ujinga wangu...maana ndo ulinzi wanguacha ujinga we muha wote walioko huko waliojenga wamerogwa mara ngapi?
tafiti ujinga? eti simple survey!!! sample ya wanywa gongo itakuambia kitu gani we mtafiti uchwara
we nimeamini ni juha sina haja ya kubishana na weacha ujinga we muha wote walioko huko waliojenga wamerogwa mara ngapi?
sii kweliMtoa maada hafikirii kwa kina juu ya maendeleo yanayoletwa na watu weyewe wa eneo husika na yale yanayoletwa na Serikali! Hatahivyo, sioni kama kuna Mkoa usiyo na wachawi na washirikina. Ni fikra duni kusema, hauwezi kurudi nyumbani/Mkoani kwenu eti kwa sababu ya wachawi/washirikina wkt kila mahali wametapakaa hapa Africa na pengine Ulimwenguni kote. Jadilini kwa kina aina ya umasikini wa mkoa unaosababishwa na watu wenyewe na kwa hali halisi na ule umasikini unaosababishwa na uongozi mbovu wa Serikali husika
hao wasanii wanawasaidiajeHuwa wanajisifia kwa wasanii wa bongoflava.
hebu na mm nikuulize kidgoMuulize ni mkoa gani ambao watu wake wanaongoza kwa kuukimbia na kwenda kuangalia fursa kwenye mikoa mingine mikoa yote tanzania haina wa kucheka mkoa mwingine changamoto zinafanana
afadhali umekiri kuna mpuuz mmoja hapa anabshaNipo huku na ninyumbani inanisikitisha
Hapo sshao wasanii wanawasaidiaje
kama ulitoka chuo na ukatumia methodology ulizojifunza huko ukakusanya sample ya wavuta bangi na wanywa gongo kama wewe ulitegemea uje na statistical data za maana hapa zaidi ya kubwabwaja bila ushahidi? mawazo kama hayo ya kwako yaliyo jazwa tope la ujinga wa kuwaza mambo ya kichawi kama wewe ulivyowe nimeamini ni **** sina haja ya kubishana na we
wenyeji wanasema ushirikina n janga kuu we mnywa ugoro unabisha wahi mirembe haraka upate dozi
ila kigoma ni pabaya jamani hata mi nikishaenda kikazi...hamna maendeleo kabisaa.Ukifika Kigoma ni mji uliokauka sana kimaendeleo japo imepakana na nchi zaidi ya mbili. Mbaya zaidi harufu ya kule ni harufu ya kichawichawi. Wenyeji wa huko wamelogezewa ubishi wa kijingajinga tu.
Jamani wanakigoma jengini kwenu, embu igeni mfano wa watu wa Kaskazini kama wa Kilimanjaro, Arusha na atlist Tanga.
Yani hadi wapemba na waunguja wamewazidi kimaendeleo na huku wako visiwani. Acheni hizo bana jengeni kwenu.
Futeni hiyo sifa ya kijinga mnayojisifia ya uchawi. Mkiendekeza mtaendelea kuwa masikini hadi sana.