Wana Kigoma embu jengeni kwenu

Wana Kigoma embu jengeni kwenu

kuna maendeleo ya kuletwa na serikali lakin kuna mengine n ya watu wenyewe mfano
kigoma vijumba vingi n nyasi je serkl ije iwajengee za bati?
Kuna hali ya maisha au utamaduni Kuwa na nyumba za nyasi,unapokwenda umasaini na kukuta zile tembe nako ni saluki ya urozi na umaskini.......!!!!!!
 
Hatuna ubaguzi huo
Ni kigoma ipi hiyo uongeleayo .....!!!???kuna mchanganyiko mkubwa sana wa wafanyabiashara kutoka pembe zote za nchi ma dunia na wanafuarahia na kufaidika sana kufanya biashara kigoma na bila huo unaosema ubaguzi,
 
Wachaga wenzangu muwafundishe Waha namna yakujenga kwao, msiwe wachoyo wa ushauri wakati nyie mmejenga maghorofa kule migombani jamani
 
Amna sehem Tanzania isio na uchawi nimeishi mikoa mingi ila hali ya uchawi ni ile ile. But jampo muamko wa wanakigoma ni mdogo ila serekali imechangia san kudidimiza kimaendeleo mkoa wa kigoma. Leo hii karne ya 21 mkoa wote ni vumbi tupu amna ata barabara ya uwakika wala umeme unategemea nan ataamka kweny giza ilo. Mikoa mingne kila siku wanawekewa barabara mpya yaaan. Ata dodom ya 2010 ilikua kam pori ila saiz wameweka barabar nying ya kondoa na iringa pamependza sana. Yaaan bila mchango wa serekali amna kitu kipya kitonekana kwa kigoma. Mkoa mzma amna ata kiwanda kimoja sababu ni umeme na ata ukizalisha utasafirishaje wakakat amana barabara za uwakika. Ila nawapengeza san maan amna njaaa
Uongo huu ,hii unasali wew?
Eti hakuna kiwanda chochote?
Eti Mkoa mzima ni vumb?
Sehemu ina zalisha,mawese, ndosa, kahawa, matunda,uvuvi,tangawiz,karoti, ina usafiri wa mabasi,ndege,meli,tren, n.k.
 
hizo n sababu finyu
ubishi n asili yenu msipoacha mtaendelea hivyohivyo kuongoza kitaifa kwa umaskini
kuhusu bei ya bati n lazma iwe juu kigoma kwasababu n mbali na kiwandani usafiri n gharama
We unatokea Mkoa gani?, Sio mbaya nikajua na kiwango cha Elimu yako ,ili nijue najadili na mtu wa kaliba ipi? Asante.
 
Naskia vijana wa kigoma ndio wachawi kuliko hata wazee wao.

Sasa nani ajenge, Raha ya maendeleo uzaliwe ama uwe Mchagga
 
We unatokea Mkoa gani?, Sio mbaya nikajua na kiwango cha Elimu yako ,ili nijue najadili na mtu wa kaliba ipi? Asante.[
natokea mkoa wa pili kwa watu wake kuishi maisha bora kwa mujibu wa ripoti ya wizara ya fedha
 
We unatokea Mkoa gani?, Sio mbaya nikajua na kiwango cha Elimu yako ,ili nijue najadili na mtu wa kaliba ipi? Asante.[
natokea mkoa wa pili kwa watu wake kuishi maisha bora kwa mujibu wa ripoti ya wizara ya fedha
 
Nawe unahisi kuna mkoa au sehemu imekuwa au kupata kimaendeleo bila baraka ya serikali!???hakuna
Kilimanjaro wanajiongezaga wenyewe
kuna kijiji kimoja kule machame wananchi wamechanga hela wanajenga lami yao
 
Ni kigoma ipi hiyo uongeleayo .....!!!???kuna mchanganyiko mkubwa sana wa wafanyabiashara kutoka pembe zote za nchi ma dunia na wanafuarahia na kufaidika sana kufanya biashara kigoma na bila huo unaosema ubaguzi,
Utakuwa umenikuu kwa makosa
 
Uongo huu ,hii unasali wew?
Eti hakuna kiwanda chochote?
Eti Mkoa mzima ni vumb?
Sehemu ina zalisha,mawese, ndosa, kahawa, matunda,uvuvi,tangawiz,karoti, ina usafiri wa mabasi,ndege,meli,tren, n.k.
Unajua kiwanda wewe. Yaani aya mawese na yanayozalisha kwa locally unasema nayenyewe ni viwanda haha. Yaan nikisema mkoa wote ni vumbi sio uongo ni kweli maan wakat nasoma advance bukoba. Yaani nimelala njian sana tatizo ni barabara mvua ikianza kunyesh ni tatizo. Alafu nakikmbuka tulikua tunafikia beach ya bukoba ili tuoge kwanz ndio tuingie shule maam tulikua tnafika tumeoga vumbe. Yaani shule nzima sis ndio tulikua kama special group na tunatoka kam maporini vile kama wanyama lakini waliobaki wote walikua wanaja salama. Aya treni nimepanda ila serikali imetelekeza san treni maan kwanza kukata tiketi ni shida yaan ili ukate tiket kama sio kulala steshen basi inabidi uwe unajuana na wakubwa au utoe chapaa. Sas ndugu yangu katika mazingir kama ayo kutoka kigoma kwend mkoa mwingne ni shida sasa patakua na maendeleo gani. Nakumbuka wakat bunge linapigania kupeleka umeme vijijini mikoa mingn, kigoma palikua amna wilaya ata moja yeny umeme zaid ya kigom mjin. Aya leo hii wilaya kubwa zot za kigoma kama kasulu ni vumbi tupu. Sas nan atawekeza kweny vumbi na huu umem wa jenireta ambalo ata mim naweza kununua nikawa na umeme wang ndan kuliko kua na umeme wa tanesko ya jenireta. No new thing will happen to kigoma if our government will not construct infrastructure.
 
Ukifika Kigoma ni mji uliokauka sana kimaendeleo japo imepakana na nchi zaidi ya mbili. Mbaya zaidi harufu ya kule ni harufu ya kichawichawi. Wenyeji wa huko wamelogezewa ubishi wa kijingajinga tu.

Jamani wanakigoma jengini kwenu, embu igeni mfano wa watu wa Kaskazini kama wa Kilimanjaro, Arusha na atlist Tanga.

Yani hadi wapemba na waunguja wamewazidi kimaendeleo na huku wako visiwani. Acheni hizo bana jengeni kwenu.

Futeni hiyo sifa ya kijinga mnayojisifia ya uchawi. Mkiendekeza mtaendelea kuwa masikini hadi sana.
Wewe ni kuku maendeleo hayapomwi kwa kujenga tu,haya wewe uliyejenga kwenu umegaidika na nini au uchimi wako umekuwa sana au hutokufa?

Kuna mabwana zako mbona wanaishi kwenye magari au unadhani waliogundua hayo magari ni wajinga?
 
Kama bado mnaamini katika uchawi nyie hamna kitu. By the way moja ya indicator ya umaskini ni kutojitosheleza kwa chakula. Mmewahi kusikia mikoa ya Kigoma na Kagera wakilia njaa?
we ndo umeongea kitu chenye akili sasa
 
Back
Top Bottom