MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Mmmmh! Sweet 16 wapiiiiii!? Nyie mnakuwaga wachachuuuuuuuuuuu :wink2:
Sure ni mchachu in your eyes but my positive attitude - Am still Kigori mydia.
Mmmmh! Sweet 16 wapiiiiii!? Nyie mnakuwaga wachachuuuuuuuuuuu :wink2:
Michelle usikate tamaa..........am shua atakapogundua kuwa siku hizi weupe wa nachero hakuna atatukonsida na sie........
Mi nabaki bana (as long as hajasema hataki alofika menopozi... am still kwalifayingi bana)
Aksante kwa kunirekebisha kiutuuzima haha
Haya Gerald keshataja sifa za amtakaye.....hebu ngoja kwanza Sipiyuu tuendelee kumisiana kwanza ngoja nikacheck sifa nione kama nami naweza kuwa contestant.....................loh
karibu sana Gerald....ni wajibu wangu.....Nami pia nashukuru kwa mawazo yako
sina uwezo wa kukusaidia zaidi Gerald....hapa hapa utampata.....nakushauri edit pale juu kwa thread then weka hivyo vigezo mtu akifungua tu avione.......:hand::hand:Ila nakuitaji kwa huu msaada wewe umeonyesha nia nzuri ya kunisaidia wangu
huja2lia wewe kwel bint anatafutwa kwa namna hii? Ops labda nimesahau kukuuliza alikimbia mabomo kule gongo la mboto au amepote kwny maandamano ya chadema kule arusha?
kila la kheri Gerald
mhhh, :A S 13: umejuaje?
Sure ni mchachu in your eyes but my positive attitude - Am still Kigori mydia.
upo michell
Jamani Hashy.....welcome back .........
Hivi unajua uchachu ndo una raha zaidi kuliko utamu?
Hahahahahah...Gurudumu umeniacha hoi jamani...jamani mbavu zangu......:laugh::laugh::laugh::laugh:
si kama mimi,usingekuja leo ningehama JF,ni ngumu bila wewe jamani....mambo shwari sio?hey love,miss ya sana