Bado tu unaongea kwa ishara????
Natafuta binti plse msaada kwenu
Bado hajaelewa somo, cheki anavyoongea mwenyewe hapo chini, bora angekuwa ana simu sikioni tungejua anaongea na sim
Michelle hebu njoo unipe . . . . . huyu kijana hana mkuki
yaani,sijui nimsaidieje?
Gerald umeelewa nilichokushauri au nirudie tena???:A S 13:
poa poa,naona hana nia na mimi.....poa tuishie zetu,Shosti umri unaruhusu nafikiri wataelewana tu......l.o.l
Embu rudia umenishauri nini
Ana umri gani? wajihi wake ukoje? je ni mmoja wa wahanga wa GM Blasts?Natafuta binti plse msaada kwenu
Ana umri gani? wajihi wake ukoje? je ni mmoja wa wahanga wa GM Blasts?
Jamani kama kuna yeyote anayemtunza mtoto yeyote kati ya wale waliokimbia mabomu (hata kama si wa Kaka Gerald) tumia nafasi hii kutangaza. Tusaidiane katika kuunganisha familia hizi zilizokumbwa na janga hili. Ni sehemu ya Mapendo
Nina nia na wewe hata kusaidia unaweza je wachangiaji mbona wanapotosha mada?
Ana umri gani? wajihi wake ukoje? je ni mmoja wa wahanga wa GM Blasts?
Jamani kama kuna yeyote anayemtunza mtoto yeyote kati ya wale waliokimbia mabomu (hata kama si wa Kaka Gerald) tumia nafasi hii kutangaza. Tusaidiane katika kuunganisha familia hizi zilizokumbwa na janga hili. Ni sehemu ya Mapendo
Du! hii kali
Haya bana Lete mada so, unanisaidiaje hapo