Hongera sana mkuu. Ubarikiwe sana karibu sana kwenye chama mkuu. Ubarikiwe sana kaka
Hhahhahahha as per your definitionMwambie hivi, "karibu kwenye chama cha walala uchi"! {source: nduu/mamaya}
Mwambie hivi, "karibu kwenye chama cha walala uchi"! {source: nduu/mamaya}
Hhahhahahha as per your definition
Ila akaribie chama letu hili
Imma.one sasa nimejivua kutoka kwenye chama cha wasela na Tarehe
26/11/2011 nafunga ndoa rasmi.
Hivyo wana jf wote mnaombwa mhudhurie bila kukosa kwani nitakuwa na faraja sana kuwaona.
Kwa aliye tayari anijulishe kwa
0713-810857.
umenichekesha kweli, dah! Aje kabisa, kujiunga ni bure hakuna ada ya uanachama,wewe kipipi vp bado au tayari?