Wana jf niombeeni

Enny

JF-Expert Member
May 26, 2009
962
130
Kesho nina nterview kwa simu kwa nafasi ya kazi ya kimataifa, ni position nzuri kiimaslahi na naahidi nikipata jf lazima nitoe laki mbili kama mchango wangu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mimi nakushauri hivi ukipata, badala ya kutoa laki mbili jf, lete laki huku, na laki moja ingine peleka sadaka kwa Mungu wako, na hiyo sadaka uinenee haja ya moyo wako na Mungu aishiye Mbinguni atakutazama na kukujalia sana.
 
Tumia simu nzuri inayosikika fresh maana hizi lugha nazo.........
 
mungu akubariki upate hiyo kazi.

kama sim yako ni china kama wangu azima hata kwa marafik zako sim ambayo inaweza kaa na chaji mda mrefu, coz ikizima wakati shoo inaendelea inaweza kukupunguzia cdt,
wish u all the best
 
Nashukuru kwa wote walionipa motyo na kuniombea lakini sioni kama kuna tegemeo maana jamaa wanataka mtu anayejua kifaransa vizuri na kazi ni Kinshasa DRC.
 
Nashukuru kwa wote walionipa motyo na kuniombea lakini sioni kama kuna tegemeo maana jamaa wanataka mtu anayejua kifaransa vizuri na kazi ni Kinshasa DRC.

bojour madame/monsiour!
Je te souhaite une bonne interview. Mais ne nous oublie pas quand tu reussir a obtenir la poste.
Bonne chance
 
Kesho nina nterview kwa simu kwa nafasi ya kazi ya kimataifa, ni position nzuri kiimaslahi na naahidi nikipata jf lazima nitoe laki mbili kama mchango wangu.

Take your time to answer those questions...Goodluck and all the best
.
 
Interview is nothing but confidence, hope you will make it as per Psalm 119:99
 
Nashukuru kwa wote walionipa motyo na kuniombea lakini sioni kama kuna tegemeo maana jamaa wanataka mtu anayejua kifaransa vizuri na kazi ni Kinshasa DRC.
Shukuru Mungu japo kwa kuwa shortlisted tuu.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom