tabu kuishi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 353
- 43
Wana JF kwa mtu yoyote aliyetayari kufanya biashara na mkaribisha ajee tushirikiane kuna biashara naijuwa ambayo inalipa sana na ni halali kwa mujibu wa sheria TZ kama mtu yupo seriously karibu tushirikiane kwani umoja ni nguvu no one can stand alone